Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.

Ni habari ya hivi punde kutoka Radio DW ya Ujerumani Leo mchana, idhaa ya Kiswahili.

Hii tuseme ni janja ya makampuni ya kibeberu yanayotumia mbinu nyingi kuzinyonya inchi za kiafrica?.

Zitto Kabwe ahojiwa na kuilaumu Serikali ya Tanzania kuvujisha habari ambayo kimsingi haikuridhiwa na Acacia Jana.



=====

Acacia Mining says cannot pay $300 million to Tanzania upfront

Oct 20 (Reuters) - Gold miner Acacia Mining Plc does not have the ability to make a $300 million payment to the Tanzanian government to resolve a tax dispute, Chief Financial Officer Andrew Wray said on a call with analysts.

Acacia’s majority stakeholder, Barrick Gold, on Thursday reached an agreement with Tanzania that included a $300 million payment by Acacia and splitting of ‘economic benefits’ from operations with the Tanzanian government. (Reporting by Sanjeeban Sarkar in Bengaluru; Editing by Sunil Nair)


Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront


TRA walitoa lile hesabu kama "Assessment" au kusudia la kutoa "Amended Assessment"? nauliza maana kufuta madeni ya kodi nao ni mchakato mwingine kuanzia kujibu hoja za CAG na Bunge kwanini hiyo kodi haikukusanywa.
 
Niseme ukweli,yakubu Bushri,nilimjua akiwa anafanya kazi na taasisi ya kifedha hiitwayo EFC microfinance,zaid ya hapo uwa nasoma makala zake kupitia gazet la jamhuri nadhani pale amepewa kajikurasa ka kasheria,

Nmekuwa mfuasi wake sana,kwa kweli niseme leo ndo nmeacha ufuasi kwake na staki kumsikia,baada ya kusoma andiko lake kupitia jf dhidi ya rais wake kitaaluma,na kwa kweli mm nilisoma na kukwazika,ila nikiwa kijiweni naskia Dw ikitangaza kuwa accacia hawana pesa ya kulipa tanzania,kibaya zaid ndugu zitto kabwe,anasema kuwa hayo ni matokeo ya utawala wa kimabavu ulioshindwa kutofautisha mmiliki wa kampuni, na kampuni! Hiv hata hili yakubu nawe hulijui pmoja kwanba hukurupuki?
Wewe uelewa wako ni mdogo! Mmiliki wa Acacia mwenye share kubwa ni Barrick ana 64% na ndio mwenye maamuzi sasa wewe unamsikiliza Zitto na DW ambao hata hawana share hata moja?? Au hujui hata maana ya majority share??
 
Haha. Lumumba walifanya had Sherehe jana huku yule juha wao akisema anazitaka hizo pesa haraka azitumie..

Barik wenyewe walisema SUBJECT TO APPROVAL.. But Lumumba wakaichukua km done deal na kuweka hadharani kuua kiki ya lisu kupata ahueni
 
Pia kwa nyongeza, tukumbuke ndani ya BARRICK GOLD yenyewe kuna wenye hisa nyingi ndiyo maana Chairman Prof. John aliweka wazi kuna kigezo bodi ya wakurugenzi kukubali. Kwa maana hiyo mbali ya ACACIA kusema hawawezi kulipa pia ndani ya BARRICK GOLD wanahisa wenye sauti kubwa kupitia hisa zao wanaweza kupinga makubaliano ya awali ya Prof. John na serikali ya Tanzania.
Hivi tunaamini kuwa wakati wa majadiliano hizi timu zilijifungia ndani na kuwa "incommunicado"? Hamkuelewa pale Rais aliposema mara kadhaa Prof. Kabudi alikuwa akija kumueleza kuwa majadiliano yalikuwa yamekwama? Alikuwa akafanya "consultations!". Wakati wa majadiliano ya aina hii, consultation ni jambo la kawaida. Muafaka uliofikiwa ulipata baraka za wenye hisa. Anachoenda kufanya Prof. Thornton ni kwenda kutoa taarifa
 
Acacia wanachekesha sana, eti hawana pesa za kulipa, kama hawana pesa wanafanya nini Tanzania? nendeni mkakope Barick au Bank mje mlipe deni, by the way wao ni subcontractor company hivyo wanatakiwa wawaambie wakubwa zao Barick kuwa hatuna pesa pumbafu kabisa hawa watu wanaojiita acacia .

Kuhusu 16% ya serikali na 84% ya Barick kushare profit, watu wanasema haiwezekani, maana sisi tunashare kidogo, lakini tunasahau kuwa pamoja na kuwa na share kidogo lakini sisi tuna mali, sisi ndo wenye madini yale, hivyo ni sawa kabisa kugawana faida 50% by 50%, tunajishusha sana watanzania muda mwingine kusikia maelezo kama yale eti tunashangaa kugawana faida, kama halikuwezekana kwingine basi Tanzania limewezekana tatizo liko wapi? cha msingi tuunge mkono jitihada za serikali at the end kama Taifa tushinde kwa pamoja, haya masiasa muda mwingine yasitugawe, kama wapinzani wana hoja ambayo ni nzuri itatusaidia basi toeni sio kupinga hata katika mafanikio ambayo serkali inafikia na wawekezaji.
 
Mbona mnaendeshwa kwa mihemuko lakin watanzania
Barrick na Serikali ndio wamekubaliana kulipa hzo USD 300M
Accacia hakuwepo kwenye mazungumzo toka siku ya kwanza so in principle hawez kukubali kulipa kitu mbacho hakuhusishwa nacho
As long as Barrick ndio mwenye Majority Shares yeye ndio atajua wapi pa kupata hzo pesa since yeye ndio aliingia hayo makubaliano.
kumbe kichwa nazi hivyoo?
Kwan sisi tunawadai Barrick?
 
Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.

Ni habari ya hivi punde kutoka Radio DW ya Ujerumani Leo mchana, idhaa ya Kiswahili.

Hii tuseme ni janja ya makampuni ya kibeberu yanayotumia mbinu nyingi kuzinyonya inchi za kiafrica?.

Zitto Kabwe ahojiwa na kuilaumu Serikali ya Tanzania kuvujisha habari ambayo kimsingi haikuridhiwa na Acacia Jana.



=====

Acacia Mining says cannot pay $300 million to Tanzania upfront

Oct 20 (Reuters) - Gold miner Acacia Mining Plc does not have the ability to make a $300 million payment to the Tanzanian government to resolve a tax dispute, Chief Financial Officer Andrew Wray said on a call with analysts.

Acacia’s majority stakeholder, Barrick Gold, on Thursday reached an agreement with Tanzania that included a $300 million payment by Acacia and splitting of ‘economic benefits’ from operations with the Tanzanian government. (Reporting by Sanjeeban Sarkar in Bengaluru; Editing by Sunil Nair)


Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront

wafanye kila watakalofanya, maneno ya Lissu yatasimama kama main point of reference
 
Acacia wanachekesha sana, eti hawana pesa za kulipa, kama hawana pesa wanafanya nini Tanzania? nendeni mkakope Barick au Bank mje mlipe deni, by the way wao ni subcontractor company hivyo wanatakiwa wawaambie wakubwa zao Barick kuwa hatuna pesa pumbafu kabisa hawa watu wanaojiita acacia .

Kuhusu 16% ya serikali na 84% ya Barick kushare profit, watu wanasema haiwezekani, maana sisi tunashare kidogo, lakini tunasahau kuwa pamoja na kuwa na share kidogo lakini sisi tuna mali, sisi ndo wenye madini yale, hivyo ni sawa kabisa kugawana faida 50% by 50%, tunajishusha sana watanzania muda mwingine kusikia maelezo kama yale eti tunashangaa kugawana faida, kama halikuwezekana kwingine basi Tanzania limewezekana tatizo liko wapi? cha msingi tuunge mkono jitihada za serikali at the end kama Taifa tushinde kwa pamoja, haya masiasa muda mwingine yasitugawe, kama wapinzani wana hoja ambayo ni nzuri itatusaidia basi toeni sio kupinga hata katika mafanikio ambayo serkali inafikia na wawekezaji.
Tatizo wanapigwa risasi mkuu huo umoja na utaifa hauwezi kuupata
 
Acacia hawapo kwenye position yoyote ya kukataa. Acacia sasa Market cap ni dola 790m, Si ambayo watasema watakataa haya makubaliano hii kampuni inaweza kushuka mpaka dola 200m. Na barrick ndio shareholders mkubwa atainunua kwa bei ya kutupwa.
 
Ninacho mpendea Magufuli, kashika kwenye mpini. Acacia kashika kwenye makali. Yale Makontena 26 Bandarini silaha tosha ya kumfanya Acacia asifurukute kama alivyoshindwa kufurukuta mara ya kwanza! Kaza kamba Magufuli, Mkombozi wetu wa wanyonge Tanzania. Tunakushukuru, sasa hivi dawa phamarcy bei nafuu na kwa wingi kama njugu! Wakulima mikoani wana hela zaidi kuliko wachuuzi wa barabarani (machinga) ! :oops:
 
Hilo swala ni gumu kwanza hiyo kampuni ya acacia inalipaje hizo pesa na wakati huo serikali ilvyo na mgogoro na serikali ilipata hasara kubwa.
 
Back
Top Bottom