Subira kitu cha muhimu
Maandalizi na matunda huwa hayaji haraka.
Wa Bongo tukazeee
Sio kila siku kulia na serikali.
Mana tayari tusha jijengea tabia ya kuishi kwa kutegemea mishahara tuna sota sana.
Ridhika Kisha piga kazi.
We kila siku utajipa njaa tuu ukiwa unaskiza ya kina mag.'na Mako.
Namkubali sana uyu Dada!
Maana anamwili mkubwa pia ana umbo zuri.Mana madem wengi wa kibongo wafupi.Dem mzuri lakini mfupi.
Au unakuta sa nyengine mwembamba Basi.
Lakini hili toto mi naweza honga million
Nikweli Sanaa inashangaza Taifa kubwa hivi na wasomi kama utitiri hata kwenye sekta ya michezo wapo, tukivaa jezz zetu hatustuki kuwa hakuna nembo ya Taifa na tukabuni.
Kwanini timu yetu ya Taifa isiishie ligi ya mchangani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.