Kutokana na umri na uzoefu wa maisha Yeye Ndo alitakiwa aombe ushauri si wewe, na ningemshauri aachane na wewe si kwa sababu ya utofauti wa umri bali kwa sababu pamoja na kuwa na umri mkubwa bado huwezi kufanya maamuzi rahisi juu ya kabint ka miaka 18. Ni kwamba Unataka Kumuoa, unaamini si...
Still bado ni Moja wa maraisi wastaafu wenye wafuasi wengi ndani ya chama pamoja na madhaifu uliyoyataja. Akitoka hadharani kupigana ndo utaelewa. Sema kapumzika na Hata chuma kilicholetwa na yeye kilishatoa warning kuwa waacheni wastaafu wapumzike.
Hii akili sijaielewa' unachukua bunduki kwenda kupigana na paka halafu ukishamuua unatupa bunduki unachukua kijiko na kuingia Porini kutafuta simba umuue.
Mmemalizana na upinzani ambao ni kama paka tu kiupinzani, kwann msipiganie mshikamano ndani ya chama badala ya kuanza kukosoana na...
Ndo maana tunasajili line ili tugundulike nani ni nani. Ukicoment kwa lugha isiyofaa au kutabiri mambo kama haya hakikisha unatumia Internet za mtaani Ila kama ni smartphone yako na line yako ya simu....................
Kisiasa ameshindwa kweli maana kachakazwa hasa kiasi kwamba hata si Mbunge tena, Ila ki afya yeye ni mshindi. Sasa ww ulikuwa unashindana nae kisiasa au kwa afya yake? Maana wafuasi wake naona wanampongeza kwa kuishinda mauti na wewe unamshambulia kwa kushindwa kisiasa. Tuchukue nafasi hii...
Yaan Passo inakula km12 per lita? Mm nlidhani ka 25 hivi per lita ndo maana vinasifiwa. Kuliko kuteseka kwe hako kagari kwa 12 au 16 per lita bora ufurahie kwe yanayoitwa majini tu ila 8km au 7km per lita. Au ukishindwa hata corolla au premio carina etc.
Ok' huenda kama taifa watawala wanahitaji information zetu zifahamike, tunafanya nn? Wapi? Na nani?. Tatizo ni hiyo deadline. Why? Kwann usingetafutwa mfumo endelevu urenew kwa mfumo huo wa vidole? Kwann tukimbizane na deadline? Line mpya zingeweka na mfumo wa vidole, mtu akipoteza mfumo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.