HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,373
- 94,566
Najiuliza tu..sijui haya makubaliano kama Bunge linayafahamu..najiuliza tu.Kigwangala kaa mguu sawa maana muda wowote unaweza kutumbuliwa
Ameajiriwa wapi? au anakudanganya, kampuni inapunguza wafanyakazi yeye anakwambia ndio kwanza ameajiriwa !, au ameajiriwa na washoka wa nyamuso ?, hebu mpelelezepole ndugu kwa redundancy nashangaa shemeji yangu yeye ndo kaajiriwa huko hivi juzi itabidi akae mguu sawa
Tukawashtaki MiGgaWazungu wameshatufanya wapumbavu mno.. Kwa jinsi walivyotupiga hapo nyuma sikutegemea tungefanya hiki kinachofanyika sasa
Jr
Hana kazi za kum keep busy, na pia anatafuta kikiRais siku hizi amegeuka kuwa Waziri? Si mambo ya kufanywa na waziri tu hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanyika was sharing top secret files to Tundu Lissu. That was an act of treason!I am not interested with anything but to see Mr.Mwanyika in the street again. God is great he will pay for his sufferance.
Mkubaliano yapi tena?
Yale ya USD 300m au mengine.
Watu tushapewa notice ya kupunguzwa kazi North Mara, sijui tutalisha nini familia.
Kila siku wanakubaliana ila manufaa hayaonekani
Hayo makubaliano bunge la jamuhuri linayajua?
Tusije tukatafuta mchawi badae
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna mtatizo ya kifikra na mnatawaliwa na utumwa wa mawazo. Poleni sana kwa kuonesha utoto kihoja.Makubaliano ya Noah zetu au?
Kwa hiyo unataka Bunge lifanyie kazi mambo ya kuona kwenye mubashara ?Hayafanyikii gizani. Si unaona tukio lipo mubashara? 😜
kwenda zako, msifie basi mbowe nawewe, ushatuchosha,Meko hana jipya ameona watu wamesahau kiki zake,kaamua kuja na hii ya barrick tunajua hadai hata mia huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa wako wa kihoja ukowapi? afu acha dharau kijanaMna mtatizo ya kifikra na mnatawaliwa na utumwa wa mawazo. Poleni sana kwa kuonesha utoto kihoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamebana wameachia.........!Najiuliza tu..sijui haya makubaliano kama Bunge linayafahamu..najiuliza tu.
asikusumbue huyo zilisha charge kichwaniMna mtatizo ya kifikra na mnatawaliwa na utumwa wa mawazo. Poleni sana kwa kuonesha utoto kihoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itawekwa kwenye nyaraka.go.tz kama zinavyowekwa nyingine.
Jifunze kutafuta taarifa, acha kulaumu tu!
basi yatakuwa mapungufu yake au wanaopunguzwa na yeye wameajiriwa kwa kazi tofauti mwisho wa siku itajulikana tu ikiwa ndio hivyo.sina haja ya kumpelelezaAmeajiriwa wapi ?, au anakudanganya, kampuni inapunguza wafanyakazi yeye anakwambia ndio kwanza ameajiriwa !, au ameajiriwa na washoka wa nyamuso ?, hebu mpeleleze
Mna mtatizo ya kifikra na mnatawaliwa na utumwa wa mawazo. Poleni sana kwa kuonesha utoto kihoja.
Sent using Jamii Forums mobile app