Wewe kwahiyo unayepinga serikali tatu unasema hakuna athari kwa sababu zipi maana sikupati ujue!!
toa maoni kuhusu zanzibar kuwa na Rais na katiba wakati tanganyika hakuna rais hapo wewe unalionaje hilo mbona magamba mnapinga hata vitu vya msingi,na kama vipi zenji waachieni nchi yao si ndivyo...
Jamani acheni siasa jamani unajua hata nchi ambazo zinakuwa na barafu kama Urusi hapa kila kiangazi bara bara zinakarabatiwa kila mwaka kwa sababu barafu linasababisha bara bara kupasuka pasuka sana kwa hiyo barafu ikiisha layer yote ya juu wanaitoa na kuweka nyingine city centre kote ,so kwa...
wako sahihi kutopendana wanawake kwa wanawake,wanatakiwa kupendana wanawake na wanaume ,na hata wanaume wanatakiwa kupendana na wanawake ,mie nawapongeza sana kwa hilo,wangependana wanwake kwa wanawake wangeonekana wabaguzi.acheni masuala ya kameruni hapa "Facts are stupid things." I never...
wote wanaodai posho kuongezwa na kusema kuwa kwa kulipwa posho hiyo itawafanya wasichangie vizuri,na suala la kusema kuwa eti kwanini mtu asiyehudhuria kikao asilipwe hawana akili,sasa atalipwaje posho wakati kikaoni hakuwepo? kama mtu alijua atakuwa busy kipindi hiki kwanini asingesema...
wewe unayesema historia isiangaliwe unakosea istoria inasaidia sana katika mengi ujue!!! yule PAKA mwacheni aropoke kadri anavyohitaji ila ipo siku mwenyewe atasema ukweli !! siku zote ukimuona mtu anafanya vituko ambavyo hakuwa navyo awali ujue siku zake za kuishi duniani zinahesabika anatafuta...
mleta mada unazingua wewe sasa kama tumbo limekuzingua unakuja mtandaoni kufanya nini nenda hospital huwenda ukawa unaumwa mengine tu na sababu sio hiyo juisi wala nini tena wewe mhuni mkubwa kabisa!! wewe kutwa nzima hujala kitu lazima lizingue sema ukweli hujashinda njaaaa wewe leo!!
Mie najua mnaowasifia wakenya ni wale mnaofanya biashara za magendo mipakani tu na hamna kingine kuna watu hapa tumekuwa na hatujawahi kutumia chochote kila kutoka kenya ,na tunafanya maisha freshi tu kama kawaida ,wewe tumia bidhaa unazopenda lkn suala la kusema kenya wanabidhaaa safi kuliko tz...
wanaoweza kuongea kiingreza wewe unawasifia kivipi bana kwani kujua kingreza lazima? wewe huoni hata marais wanaojielewa/viongozi wanaongea lugha zao kwenye mambo ya kiofisi,usimuone mtu mjanja kwa kujua kuongea ,hapo mhimu kwetu ni yupi anayeweza kuwajibika kwa wananchi kama tunavyohitaji. basi,
Mwacheni bana agombee Urais kama atakuwa na sifa kuliko wengine basi atakuwa rais wa jamhuri ya muungano au anataka kuwa Rais wa Tanganyika kama itarudi? mwacheni atumie haki yake kama raia wengine bana haina noma atakapogombea na kukosa ndio atajua wapi akajisahihishe,maana sio kila ndoto...
Kwanza kabisa ninapenda kulisifia taifa langu/jeshi kwa ujumla ,sawa kwenye masuala ya kulinda amani tumejitahidi sana lkn mkae mkijua sio rahisi kuwa bingwa siku zote ,hivyo tunatakiwa kuangalia aina ya migogoro tukiona tunaweza kuzinguliwa sana tusiende tukaja kushindwa tukapoteza umaarufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.