holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 597
we mbebez 'taiti' mbona una shoboz you know!!...
Au ndo kisa umezaliwa bara la giza!
Unafikiri hizi mvua zinazoendelea ni za kawaida?? Vitu vingine ni maafa tuelewe hayo. Kwa hiyo waliojenga yale magorofa yalioburuzwa na Tsunami Japan wajapan wangeilaumu serikali yao?
unakuta daraja linajengwa kwa mabilioni ya pesa na waziri wa ujenzi yupo ila daraja ndani ya miaka isiyozidi 7 lishaanza matatizo kama ilivyo sasa daraja la ruvu.....