Nami naomba kuuliza juu ya taaluma ya Mheshimiwa Slaa. Inaonekana alidahiliwa kusoma PhD kwa miaka 4 (1977-1981). Hiyo inakubalika kimataifa. Lakini msingi wangu wa swali ni pale ndani ya hiyo miaka 4 kusoma taaluma 2 tofauti kwa vyuo tofauti lakini shahada and stashahada zote kutolewa mwaka huo...
Pole sana. Japo inaonekana nawe huyo mme humpendi. Ulikubali kukaa kwa ajili ya watoto. Ushauri wangu ni wewe kuonyesha upenda kwake. Usijali kutokujali kwake mwanzoni, lakini kadri siku zinavyokwenda atarejea hata utashangaa. Ila usiondoke hapo kwani huko utakakokwenda kunaweza kukawa kubaya...
Pole sana kwa msiba huo mkubwa. Mungu awepo moyo mkuu na uvumilivu kipindi hiki kigumu
Faraja: Kwa kuwa wa kukuzika bado yeye yuko hai, usiumie sana. Jipe moyo, urafiki wenu bado utaendelea kudumu
Jamani mbona tunatoa hukumu hata kabla ya kesi kusikilizwa? Haya ni maelezo ya upande mmoja wa utetezi, mbona tunafanya haraka kabla ya kusikia upande wa pili? Kwa maelezo haya natoa majibu ya baadhi ya maswali ambayo kwa hayo hayajatoa mwelekeo wa nani mkweli kati ya pande zote mbili...
Asante kwa feedback. Neno msamaha unaoombwa si kusalitiwa bali ni kukubali kurudiana. Kwanza nikupongeze kwa hekima yako iliyodhihirika jinsi unavyolishughulikia suala hili mpaka sasa. Kama moyo wako bado unampenda, mrudie tu lakini baada ya kurijirisha ni mzima kwa kupimwa mara tatu (HIV)...
mmm! Mbona hapa naona wanapoteza muda na sababu ya kuchelewa kufungua kesi ya uchaguzi wenyewe! Nafikiri hizo nyaraka si zingeombwa na Supreme court kama vinahitajika au ni lazima wao wavitafute? Kama ni vya kutafutwa, wanaukweli gani kwa hayo wanayoyawaza?
Kwa mtizamo wangu naona hapa hakuna...
Hebu fikiri ndugu yangu, huoni unachezewa akili tu! Iweje huyo dada alidanganyika kwa ushawishi wa huyo mme wake hadi akabadili mawazo na kupoteza mapenzi na ahadi zenu zoote na mwisho akaolewa na huyo mdanganyifu (according to you). Silikiza, hivi wewe unafikiri hayo madhaifu yako yaliotumiwa...
Kabla sijakushauri SIKILIZA haya kwanza yanayonihusu mimi: Mimi ni kijana wa kiume mwenye elimu ya PhD, mke wangu ni darasa la 7. Tumekaa pamoja zaidi ya miaka 10 sasa. Tunaishi kwa raha mstarehe wala hatujawahi kuhisi tatizo kutokana na utofauti wa elimu zetu. Katika maisha yangu nimekutana na...
Hapo hakuna cha kutafakari wala nini, badala yake inawezekana ni kwamba aliyekuwa nae, amemwacha ikabidi arudie shuka wakati kumekucha! Kuwa mwangalifu ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.