Hahaaaa nimeishi mbeya na pia nimeishi dodoma pia vizuri hivi unaweza kulinganisha jiji la mbeya na kwetu dodoma ? Kwa lilivyo jiji la mbeya dodoma bado saana sana
Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
Ndugu zangu hebu tumalize kwanza hili la msiba then turudi kushikana mashati,nadhani mtukufu keshalisikia vizuri tutamuomba tu avibane vyombo vyake vya ulinzi haki itendeke na si kutafuta namna ya kurusha mpira huko na huko,tena vyombo vyetu vikitenda haki katika hili vitakuwa kwa asilimia...
Siamini kama Siro aliwaambia mkaue raia,ninachoweza kujua ni kwamba askari wanapoenda kutuliza ghasia au maandamano watakuwa na silaha za aina ya kuzuia maandamano,kila tukio lina silaha zake ingawaje kunaweza kuwepo nguvu ya ziada zaidi ila kwa mbali sana kujihami kama mambo yatageuka na...
Ni rahisi sana kutoa maoni kama hayo sbb aliekufa si ndugu yako,hebu vaa viatu vya wazazi wake,kaka zake,wadogo zake,ndugu zake,rafiki zake kwa ujumla then pata picha akiwa ni binti au dada yako asie na hatia kabisa kapigwa risasi amekufa hapo,hakuwa mwanasiasa,hakuwa anaandamana n.k ! Hapa kuna...
Dah mtoa mada umenigusa moyo wangu sana,huyu katibu mkuu hajui zile amsha amsha,chama kimepoa mno utadhani TADEA sijui ! Ile nafasi anapwaya sana tena mno.Pls Mbowe mimi ni miongoni mwa wanachama watiifu kwa Chadema naomba badili tena gia angani,katibu wangu anapwayaaaaa mno.
Jamani kabla ya kulaumu ni lazima tuwe tunafikiria nini pengine kilimfikisha waziri wa elimu kufuta michezo mashuleni,hali yetu ya elimu ilikuwaje wakati huo ? Na je alijiamulia tu au ni serikali kwa ujumla iliamua ! Inawezekana nia ilikuwa njema ila utekelezaji ukawa mbovu,au kutokana na hali...
Maneno mazito mazito sijui kuropoka,kukurupuka hayatatusaidia/hayatamsaidia hata kidogo ! Tukosoe kwa hekima na uzuri wake rais huwa anasoma haya mambo vizuri ! Yeye anatuongoza lkn sisi tunamuongoza yy pia kwa kumkosoa kwa hekima na kumpa namna bora ya kutekeleza kazi zake badala ya kulaumu tu.
Magufuli si malaika ! ni binadamu kama wengine ! Anawaza,analala,anakula nk kama wengine tu ! Cha msingi tujaribu kumsoma kiongozi wetu kuwa nini ilikuwa dhamira yake kwenye jambo fulani ! Rais anaweza akawa na dhamira fulani njema juu ya jambo fulani lkn akateleza tu ktk namna kuliwasilisha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.