Hivi kumtongoza mke wa mtu huku ukijua ni mke wa mtu ni kosa kisheria... maana hapa nina kesi nimeletewa nimeshindwa jinsi ya kuihukumu? msaada tafadhali!
Kijana wangu kaondoka nyumbani tangu tar 5/5/2018 majira ya jioni na sijui alipoelekea.
Nilikuwa naishi nae Gongo la Mboto - Majohe kwa Ngozoma, kwa atakayemuona naomba anijulishe kwa namba hizi 0655 700138, 0716 048473 na 0652 906246 au aripoti kituo chochote cha polisi.
Maeneo mengine...
Acha uoga wakati unataka kutairiwa..... mtoto umeshindwa kumlea mpeleke hapo KAWAWA ukasaidiwe kukelewa...INGIA MTANDAONI ITAFUTE KAWAWA SC SCHOOL UONE MATOKEO YAKE YA F4 na ya F6. Kuhusu waalimu wapo mchanganyiko... nikutoe wasiwasi wako uliokua nao. waalimu wote wa KIJESHI wana elimu nzuri na...
Kumridhisha mtu yahitaji kazi sana. achana na mapenzi tu kwa jambo lolote lile... mm nikishakiridhisha na yeye ajiridhishe anavyoweza....... mimi kupoteza masaa kibao eti mtu afike kileleni sina....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa... ukidhibiti kuwaza hayo mambo unaweza kukaa hata miaka kadhaaa bila kula mzigoooo[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
ukubwa upi? mbona mnauliza maswali ya kitoto? umri au nini mnataka ili tuwasaidie! unapotaka kulinganisha vitu lazima uwe specific kwenye hitajio lako!
Swali lako halina mshiko kwa maana hujaainisha ukubwa upi? umri? ukubwa wa mwili? ukubwa wa madaraka au nini unataka? matatizo ya kukariri shule hata namna ya kuuliza maswali hujui!
We utakuwa under 20! wanajeshi huwajui na hata jkt hujawahi kupita! kama wanalala bure kula bure kusafiri bure kwa nn hujajiuliza why wanunue magari! nyie hamjui hata indicator za maendeleo ni zipi! wakati rais wetu mstafu alipobanwa kuwa nchi haina maendeleo yoyote alijubu angalieni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.