Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,833
- 41,122
Duh.
Ni kweli kabisa... ukidhibiti kuwaza hayo mambo unaweza kukaa hata miaka kadhaaa bila kula mzigooooHakuna Madhara..
Hakuna Cha Moto...
Hakuna Cha Baridi...
we jitahidi kudhibiti fikra za kichwani kila kitu kinakuwa sawa... mihemko huanzia kwenye ubongo kwanza kabla ya kuja chini
Joverest mdhibiti viwango jf heshima kwako mkuu!HAKUNA MADHARA YOYOTE
Ahahah heshima na kwako pia..ila hicho cheo mmh
Dah.... Muda mrefu upi chief? Masaa manane?Kwema wanajamvi...
Kama kichwa cha habari kinavyosema..naombeni kujuzwa
Zaidi ya miezi Tisa mkuuDah.... Muda mrefu upi chief? Masaa manane?
Sema km umewahi kuonjwa au kuonjwa na ukakosa nguvu kichwani ya kuzuia mawazo mbinjuano ndo cha moto utakionaKama umekamilika utajua nnacho maanisha
Hasira,kutojiamini,chuki nkAsnt mkuu..
Naomba ufafanuzi kipsychologically
Nimewahi kaa mwaka mzima bila kufanya hiyo kitu naweza kukupa uzoefuTungempata Padre au sista mwaminifu angeweza kujibu hili swali kwa ufasaha zaidi...
Huo muda mchache sana,Zaidi ya miezi Tisa mkuu
Hajawa na element za ukichaaHuo muda mchache sana,
Kuna MTU alifungwa kimakosa kwa kusingiziwa na mama wa kambo akiwa bado hajamjua mwanamke,kaja kutoka ana miaka arobaini,hamjui mwanamke kabisa na alikuwa poa tu,km msikilizaji mzuri clouds utakuwa uliwahi mskia akihojiwa,
Japo sasa kapata mke tayari,
Miezi Tisa kwa wengine ni kawaida kabisa,jifunze kudhibiti kichwa
Madhara yatakuwa saikolojia yako itakuwa haipo sawa mkuu ila jitahidi kuweka mawazo na fikra zinazohusiana na mapenziKwema wanajamvi...
Kama kichwa cha habari kinavyosema..naombeni kujuzwa
Atamjibuje mkuu, wakati umeshachukua nafasi yake??Joseverest anakuja kukujibu
Hakuna ukichaa wala nini, zamani sana watu walikuwa wanafika miaka 30 hamjui mpenzi na bado hawakuwa vichaa,tatizo tumevurugwa vichwani na tamaaHajawa na element za ukichaa
kwa wale waliosoma nadharia za mwanasayansi Lameck alitoa angalizo la kutotumia kiungo chako kinaweza kuwa weak na kupotea kabbisa........: In every animal which has not passed the limit of its development, a more frequent and continuous use of any organ gradually strengthens, develops and enlarges that organ, and gives it a power proportional to the length of time it has been so used; while the permanent disuse of any organ imperceptibly ... PLZ Tutumiane vizuriNi kipi hiko cha moto mkuu
Nimekusomaa mkuukwa wale waliosoma nadharia za mwanasayansi Lameck alitoa angalizo la kutotumia kiungo chako kinaweza kuwa weak na kupotea kabbisa........: In every animal which has not passed the limit of its development, a more frequent and continuous use of any organ gradually strengthens, develops and enlarges that organ, and gives it a power proportional to the length of time it has been so used; while the permanent disuse of any organ imperceptibly ... PLZ Tutumiane vizuri