Recent content by SIASA TZ

  1. S

    JamiiForums Tanzania Swali Fikirishi: Je, Zitto hakuiona 1.1T ya mwaka 2015/16 na zile dividend za NMB zilizojirudia miaka 3?

    Yani wewe ni zero kabisa, unaxolenga ni nini? Mhutu asisemwe? Asiambiwe ukweli? Mwisho wa haya mambo ni mbaya sana, cheo ni kwa muda, its not lifetime job, ipo siku yake itafika
  2. S

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai, Dhambi ya kuliua Bunge haitakuacha Salama. Msalimie Rais Magufuli

    Nadhani impact za udhaufu zinaanza kuonekana sasa, tuliyaona wenzenu kitambo, wenye uwezo wakayaandika, wenye uelewa wakayaelewa na kuanza kuyatilia shaka, wenye ufinyu wa fikra wakapinga, leo tunaongea juu ya 1.5T, kesho ni kubwa kuliko jana, bado tutaendelea kushuhudia mengi ya kuogofya.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kiongozi bora ni yupi basi?

    Hivi siku hizi unakula maharage ya wapi? Naona taratibu yanapanda kichwani,akina Msiba wapo wengi sana kwwnye hii nchi, Kiufipi Pachal unakera, jnahaibisha na njaa kamwe haitakufikisba sehemu nzuri, jifunze kifumba mdomo.. Wazungu unaowananga unalingana nao kwenye nini???
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ni kosa kuhamasisha mandamano kabla hujapata kibali cha kuandamana kutoka mamlaka husika

    Wajinga wanaoongelewa na maaskofu ni hawa, unajua taratibu za maanadamano? Haya majukum waliojitwisha policcm unadhani ni sheria? Jikunjue akili ujue kwanza taratibu alafu ndo upost
  5. S

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo ashambuliwa vikali na wanafunzi wake mtandaoni

    Am too woried na elimu yake. Kimsingi hana credibility yoyote ya kunshauri mtu, hana sifa ya kuitwa profesor, huyu n mganga njaa kama Lipumba, ujinga na upuzi unaondelea katika hii nchi kamwe mwenye akili yake hawez kusimama na kutetea ushenzi huu, only ADB na watu wenye carbre ya akili yake...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ujuaji utaliangamiza taifa, mwenye masikio asikie

    The country is at a very high risk, The Total shootdown is coming. Kuna ghalama ya kuokota watu na kuwapa uongozi
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kuna nini wasomi wanaibuka na kuwatetea wezi?

    Shida yako ni uelewa, hakuna aliyewatetea, wasomi wanajielewa sana, wanachponda ni 1. Approach ya kutumia nguvu badala ya akili 2. Wanachotaka ni accountability, ccm wakubali kwamba upuuzi wote kwenyw madini umesababishwa na ubutu wa uongozi wao, Mtu mwenye akili ndogo atakuwa na fikira kama za...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayalla, Mheshimwa Rais alishakujibu?

    Paschal Mayala yupo humu?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ujuaji utaliangamiza taifa, mwenye masikio asikie

    Moja ya sifa kuu ya kiongozi ni kusikiliza sana na kuwa wa mwisho kuongea, hii imekuwa kinyume sana na viongozi wengi sana katika bara la Africa, lakini kuna wakati narudi nyuma na kufikiria juu ya adhabu ambazo wanapewa wana wa Afrika, kuna wakati nawaza na kutoa hukumu kwamba, tunayoyapitia na...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mapya na Mengi Kuhusu Ndege ya Tanzania Iliyozuiliwa Huko Canada

    Hivi aliyeshikwa ni nani? Hahahahahaa akili ndogo zina madhara yake
  11. S

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Dr. Tulia kujenga vyoo viwili vya shule Mbeya mjini!

    Na hii ni habari ya kushare na Great thinkers?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Wanaodai Serikali Haijafanya kitu huwa wanamaanisha nini?

    Ningekuwa polepole nisingekulipa kwa huu ujinga na uvivu wa kufikiri.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mtu yeyote aliyepuuzwa CCM anaweza kuwarubuni wapinzani kiasi cha kusujudiwa

    The problem is, that no matter where you work there's going to be people that are so dumb you wonder how the hell they remember to breathe every morning.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya mjadala ITV, watu wote wana mawazo sawa

    Hujajenga hoja ila umetoa povu. Nanii wenu kilaza na anaua kila kitu, siku ukianza kutembea bila pichu ndo utaelewa
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kudorora kwa Uchumi Tanzania: Tanga Cement wala hasara, waamua kuweka bayana!

    Maoni yako yanachekesha sana Hufikirii production costs Hufikirii kupungua kwa demand Hufikirii masuala ya excessive taxes Unafikiria kisehemu kidogo Sana kwamba ni excess in supply? Yapo mengi sana hapa na justification ya hali ilivyo kwa sasa
Back
Top Bottom