Recent content by shuu00

  1. shuu00

    Vituko ndani ya JamiiForums

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. shuu00

    Naomba kuelimishwa kuhusu masuala ya salute kati ya Jeshi na Polisi

    Sikulaumu sababu hujui ukisemacho na hapa tunatumia id siwezi kukuprovia kwa kuweka maandishi ya kijeshi hapa. Ila ukibahatika kusoma kitabu cha majeshi ya ulinzi soma vizuri nikiwa freshi ntakuwekea kifungu cha kusoma.
  3. shuu00

    Naomba kuelimishwa kuhusu masuala ya salute kati ya Jeshi na Polisi

    So we unaangalia nyota za begani? Sheria ndo anasema hivyo. Ukiona ofisa Wa jwtz anampigia saluti ofisa Wa polisi chino ya cheo cha CP ujue hiyo sasa au huyo ofisa ana shida.
  4. shuu00

    Naomba kuelimishwa kuhusu masuala ya salute kati ya Jeshi na Polisi

    Saluti inatolewa kwa commissioned officer ambayo inatolewa na rais tuu. Maofisa Wa jwtz wote wanaapishwa na rais ila kwa upande Wa polisi ni wachache kwenye cheo kunzia CP.
  5. shuu00

    Nahitaji marafiki wa kuchart nao

    Habari zenu..... Nahitaji marafiki wa kuchart,nina stress mno,nahisi kwa kufanya hivyo kutanipunguzia mawazo... Mimi ni msichana nina 25 yrs...naishi Dar es salaam... Jinsia yeyote sibagui....njoo tubadilishane mawazo...ni PM kwa maelezo zaidi Thanks.....
  6. shuu00

    Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

    Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli
  7. shuu00

    Msaada tafadhali

    Picha tu hiyo
  8. shuu00

    Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  9. shuu00

    Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

    Eti Rough sex ndo inafanywajee....kuuliza si ujinga jmn
  10. shuu00

    Kama kweli kuna majini mahaba basi hili langu ni kiboko

    Hahahahahaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. shuu00

    Msaada tafadhali

    Habari za kazi wana JF Mimi ni msichana nina miaka 25,ninaishi Dar es salaam,Nina elimu ya kidato cha nne,nilipenda kuendelea na shule ila sikufanikiwa sababu wazazi hawakuwa na pesa za kuniendeleza.....nahitaji msaada kwa atakaeguswa...natafuta kazi yoyote Nina ujuzi na computer japo sijawawahi...
Back
Top Bottom