Recent content by Shukuru Masenga

  1. Shukuru Masenga

    Serikali tutafutieni wateja wa mbaazi hata tsh. 100 kwa kilo tunateseka tutauza tu

    Wapi huko mbaazi zilipojaa ivo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Shukuru Masenga

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    Nimekupata vizur sana! Ishu ni kuwa wazalendo wa kulipa madeni kama sisi tunavyosisistizwa kulipa ya TRA Bodi ya mkopo nk Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Shukuru Masenga

    Mwenye kujua soko la ufuta

    Wapi huko unapopatikana ufuta? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Shukuru Masenga

    Nauza pikipiki boxer BM 150

    Ina tatzo gan? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shukuru Masenga

    Kadi tatu za njano alizopata Fakhi mchezaji wa Kagera sugar hizi hapa

    IPI ya FA apo mkuu? Hakuna ya FA apo mana FA walicheza na mbao fc
  6. Shukuru Masenga

    Nitajuaje Jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa?

    Huu uzi nami utaisaidia sanaaa! Karibuni
  7. Shukuru Masenga

    TBC wakiuka makubaliano ya jukwaa la wahariri

    Itakuwa ni order toka kwa mkulu
  8. Shukuru Masenga

    Polisi waisoma namba; TANESCO wakata umeme kwenye maghorofa ya Polisi Kurasini

    Tunawajengea nn kwny mioyo yao hao wanaojitolea ucku na mchana wakat wa mvua na jua kipindi za joto na baridi Leo anarudi nyumbani toka kwny majukumu ya taifa yanayotakiwa uzalendo anakuta mambo yako tofaut!!!!!
  9. Shukuru Masenga

    Siasa za Udahili: Muslim University of Morogoro

    Nimependa huu uzi ila wachangiaji wengi humu wanaongelea kwa mlengo wa kidini kitu ambacho sio kweli!!! Mimi ni mmoja ya graduate wa BACHELOR YA BUSINESS pale MUM kozi ambayo nilihama toka IFM kuja MUM yan nilisoma semester moja IFM afu nkachukua matokeo yangu nkahamia MUM (kutokana na costing...
  10. Shukuru Masenga

    Mzee Joseph Butiku: Hatutaki kuona Chama kinacho zuia vyama vingine vya Siasa visisikike

    MKUU anakiamini kichwa chake na kuamini kila anachokifanya ni sahihi! ivo wote wanaoongea na kushauri anaona hawashindani na kichwa chake
  11. Shukuru Masenga

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba: Naagiza aliyemtolea bastola Nape Nnauye, achukuliwe hatua

    Mwigulu simamia kwenye ukweli na haki kama alivyofanya nape wewe tekeleza wajibu wako ili kesho ukiulizwa na wananchi umefanya nini upate cha kujibu! Wakuu wako ni wananchi japo jukumu umelipata kwa kuteuliwa na MTU moja
  12. Shukuru Masenga

    Eneo la kuvuna mawe na kokoto linauzwa

    Yeah ndo mana kwa waliokuwa interested na iyo ishu walishakuja kuchek na taratibu nyngne zinaendelea
  13. Shukuru Masenga

    Erick Shigongo...Paul Makonda Hafai Kuwa Kiongozi Kwa Anachodaiwa Kufanya Clouds FM

    Tulikuwa tunaonekana waropokaji tusiopenda maendeleo ya watu! kulewa madaraka
Back
Top Bottom