Recent content by Shorz

  1. Shorz

    Mwenye joining instruction ya MATI ILONGA

    Waliochaguliwa tunaweza ona wapi majina yetu? Make kwenye website yao NACTE hawajatoa.
  2. Shorz

    WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

    Ukizungumzia biashara ya mziki hapa Tanzania,Intelligensia kubwa inayotumika kufanikisha biashara ya Mziki Tanzania,Hakiri kubwa iliyowekezwa kufanikisha Biashara ya Mziki Tanzania. Na vingine vyote vizuri hakika huwezi linganisha Alikiba na Diamond!!! Na hata ukilinganisha maana yake unataka...
  3. Shorz

    Waraka wa Jumapili kwa Rais wangu.

    Mara nyingi tabia ya kuanza vizuri halafu unamaliza vibaya huwa n chafu sana!!! Rekebika kijana kwa kujitambua ili uanzapo vyema umalize vivyo hivyo. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Shorz

    Wananchi tusipopaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote hakika Taifa letu linakwenda kuangamia!

    Unahisi hoja yako iko vizuri mpaka watanzania wanaojielewa waiunge mkono?? Kumbe hoja yako ikipingwa tayari anaepinga anakuwa mkongo! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shorz

    Wananchi tusipopaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote hakika Taifa letu linakwenda kuangamia!

    Ukitaka nikuelewe! Acha kutega watu,eleza ni kwa namna gani Rais anasigina katiba ukibainisha hoja zako moja baada ya nyingine! Itakusaidia kuwa mtoa hoja mzuri usietiliwa shaka lolote kiitikadi!!! Ila ukija kiitikadi tutajua na tutakuomba ulete hoja za kitaifa na s kikanda! Nadhani unaelewa...
  6. Shorz

    Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

    Huyu Diamond anaijua vizuri fitina ya Muziki!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Shorz

    Leo ni siku ya kuzaliwa kwa alliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa

    Mungu asimame naye Mzee Lowasa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Shorz

    Wananchi tusipopaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote hakika Taifa letu linakwenda kuangamia!

    Njaa huweza kusababisha itikadi Fulani kutangulizwa na kuacha nyuma maslahi ya Taifa!!! Pengine hoja yako ni dhaifu sana kwakuwa ina mlengo wa kiitikadi na si uchambuzi yakinifu uliojaa taswira ya kuliendeleza Taifa kimaendeleo na si kuendeleza Taifa Kimajungu. Unapotuletea hoja humu jitahidi...
  9. Shorz

    Wananchi tusipopaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote hakika Taifa letu linakwenda kuangamia!

    Njaa zinasumbua sana!!! Ongeza bidii utaanza kulipwa mshahara Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Shorz

    Rais Magufuli atembelea eneo la Feri Kigamboni Jijini Dar es Salaam

    Bongo zenu wengine zinatakiwa kuwa Mirembe hospital kwasasa! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Shorz

    Uchambuzi wa The Citizen kuhusu majadiliano ya Acacia

    Sijajua hizi bongo zetu tunazitumia kwa asilimia ngapi kufikiri!!! Kuwa kiongozi wa msafara/Msimamizi ww ndiye mshauri Mkuu? Spika wa Bunge ni mwamuzi wa mambo yote bungeni!! Kaa ukijua kiongozi anaweza kuongoza wataalamu waliobobea kwenye sekta mblmbl kuliko yy! Inawezekana tukawa hatujui...
  12. Shorz

    Je, Serikali haitapika data kudanganya wananchi kuwa ACACIA wametulipa matrillion kumbe ni propaganda?

    Mazungumzo yakikamilika report itawekwa hewani tu!! Hofu na kiki za kisiasa ndio zinaanza kuwasumbua,kwani Tume ya makinikia ilipokuwa ikifanya kazi zake ili kukamilisha agizo la Rais ilikuwa ikifanya Live?? Tusibiri matokeo ndio tuseme!! Hili ndilo tatizo lenu nyie wababsishaji,haiwezekani...
  13. Shorz

    Karibuni tuliotendwa mwaka huu

    Good thinker
  14. Shorz

    Huyu ndiye Zitto mnayetaka aingie UKAWA?

    Hizo takwimu unazitafuta kwa kutumia njia zipi ambazo huwezi kupambanua jambo? Takwimu zako zimejikita haswa ktk uchaguzi zilizopita ambapo enzi hizo hakukuwa na upinzani wenye nguvu kama Chadema ya 2005,2010-2015 iliyotengenezwa na Zito mwenyewe kuhakikisha vijana wengi wanazama kimahaba na...
  15. Shorz

    Hii ndio aibu itakayomfuta rasmi Lowassa kwenye siasa!

    Akaah! Mnataka mikutano ya siasa ili mfanye nn??? Propaganda ziliishia 2015 Wenda msubiri 2020 nani anataka maandamano muda huuu? Tunataka huo muda wa maandamano watu wafanye kazi jooh!!! Hizo siasa maji taka zifanyieni kwa vikao vya ndani ili mdanganyane humohumo au muandamane humohumo ndani.
Back
Top Bottom