Kwanza kabisa, "habari zenu wana JF",
Kuna ishu inanitatiza sasa nashindwa kuelewa, kuna msichana fulani nasoma nae chuo hapa Dar kuna mambo flani nashindwa kuelewa tangu nianze kuona hisia za tofauti (kumpenda, kumuelewa) naanza kumkwepa I mean nashindwa hata kumface.
Kinachonishangaza zaidi...