Ushauri: Namuonea msichana aibu

Ushauri: Namuonea msichana aibu

huo ni udomo zege sio aibu
acha hizo mambo changamka bhna
 
Wewe unaamini huko alikotoka hakuna wanaume sio? Unafikiri sisi wote tutamuonea aibu! Kwani yeye ni nani? Mchane akikutaa achana nae! Simple and clear...... Ni aibu sana mwanaume kuanza kumtetemekea mwanamke.
 
Wewe unaamini huko alikotoka hakuna wanaume sio? Unafikiri sisi wote tutamuonea aibu! Kwani yeye ni nani? Mchane akikutaa achana nae! Simple and clear...... Ni aibu sana mwanaume kuanza kumtetemekea mwanamke.
DAh unanipa mokar kaka ngoja nmpe vidonge vyake
 
Kuna muda upendo unakufanya uwe hivyo
Pambana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom