Mbingu haipo, watu husema mbinguni kuna maisha mazuri lakini huomba waishi maisha marefu duniani

Wanasayansi wanalipwa Hela nyingi sana ili ku brainwash watu.

Swala la wao kugundua vitu outer space wakati vitu vilivyopo baharini hawaja explore Kwa asilimia kubwa
Weak argument. Baharini kuna kitu gani kipya au cha msingi sana cha kugundua zaidi ya new species za samaki?
While in outer space ni muhimu zaidi sababu ya unknown potential na probability ya kugundua new intelligent life au viumbe wengine ambao wanaweza kuwa kama na either wanaweza kutusaidia technologically au kutuangamiza. Outer Space kuna new resources na even a new home for humanity sababu hili jiwe tulilokalia earth lazima litakuja kuwa uninhabitable kusupport maisha ya viumbe au linaweza kupigwa kimondo anytime na kuface extinction.

It's a matter of preferences.
 
Unataka definition na tafsiri yako ya "imani" iwe sawa na ya kwangu?

Yani unataka kusikia vile unavyo elewa wewe?

Kwamba unalazimisha unavyo elewa wewe kuhusu imani ndio iko hivyo kwa wote.

Kwamba mtazamo wako na tafsiri yako ni kanuni kwa ulimwengu mzima?

Nakwambia hivi

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Imani ni Imagination just an illusion.
Sawa upo sahihi, basi msingi wa imani kwa upande wangu ni pamoja na uhakika,

Nna "imani" kesho nitakuwa mzima wa afya
Nna "imani" nayotarajia kesho yatakua kama navyoamini.

Kwa ufupi tu "imani" kwangu haijawahi kuniangusha kwahiyo imenijenga kuwa na uhakika wa chochote ntakachokiamini. hivyo basi imani yangu kuhusu mwenyezi Mungu sina shaka wala wasi wasi wowote..Namuamini Mungu.
 
Sawa upo sahihi, basi msingi wa imani kwa upande wangu ni pamoja na uhakika,
Ingekuwa kweli kwamba msingi wa imani ni kuwa na uhakika, Unge amini tu kwamba huwezi kufa na ikawa hivyo kwa imani tu.

Ingekuwa kwamba chochote kile
uki aminicho kwa imani tu kingetokea.

Lakini badala yake, imani hiyo haina msaada wowote kwenye matatizo makubwa kama kifo, kupona magonjwa, kuzuia majanga ya asili n.k

Hata uwe na imani kiasi gani, matatizo na shida yapo palepale.

Na imani hiyo is nothing, Haisaidii chochote.


Nna "imani" kesho nitakuwa mzima wa afya
Nna "imani" nayotarajia kesho yatakua kama navyoamini.
Kama imani Ingekuwa kweli na uhakika, wagonjwa wote mahospitalini wangepona kwa imani tu.

Wasinge hitaji hata matibabu.

Imani hiyo ingetosha kuwaponyesha magonjwa yao.

Lakini sivyo, wagonjwa wengi pamoja na kuwa na imani ya kupona ila wengine hufa kabisa.

Hivyo IMANI Haisaidii kitu.

Faith is nothing, It's just False Hopes imaginations just an illusion.
Kwa ufupi tu "imani" kwangu haijawahi kuniangusha kwahiyo imenijenga kuwa na uhakika wa chochote ntakachokiamini. hivyo basi imani yangu kuhusu mwenyezi Mungu sina shaka wala wasi wasi wowote..Namuamini Mungu.

Imani haina "uhakika" imani ni mawazo ya kufikirika tu, Imagination just an illusion.

Ingekuwa kweli kwamba imani ina "uhakika" kusingekuwa hata na haja ya kutumia nguvu au Akili kufanya kazi mbalimbali.

Imani hiyo, ingetosha kufanya kila kitu.
 
Kama Mbinguni kuna maisha mazuri, Kwa nini uombe kuishi maisha marefu Duniani?

Je, hutaki kufa uende huko Mbinguni kwenye maisha mazuri?

Kama Hazina zetu zipo mbinguni, Kulikuwa na haja gani ya kuumbwa ulimwengu?

Mbingu ni dhana ya kufikirika Haipo, Na hata uwezekano wa kuwepo kwake, Haupo.

You can not wish for a house of gold in Heaven while you have never touched gold right here on Earth.

If you fail to live on Earth, The fantasy of heaven is an illusion.
Mwanadam ni Mwili na Roho. Mwili kwake ni Duniani na hivyo hutamani vya Duniani; Roho kwake ni Mbinguni, hivyo hutamani vya Mbinguni.

Ni kawaida Mwili kushindana na Roho, maana vyote vina destiny tofauti. Hivyo sio ajabu Mwanadamu huyuhuyu kuipenda Dunia na hapohapo akatamani mbingu.
 
Kelele zote hizi ni kwa sababu unataka kuishi milele nashangaa kwa nini hukugoma kuja huku duniani.

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Uwezekano wa kugoma kuja duniani Haupo.

Kuishi milele Haiwezekani. Maana Nature iko hivi, Lazima viumbe wengine wafe ili wengine wapate pa kuishi.

Babu mzaa babu yako, Angekuwepo leo hii, Na ingekuwepo hivyo kwa binadamu wote na viumbe wote.

Unadhani nafasi ya kuishi duniani ingekuwepo kweli?

Si tungekuwa kama utitiri kila mahali.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mwanadam ni Mwili na Roho. Mwili kwake ni Duniani na hivyo hutamani vya Duniani; Roho kwake ni Mbinguni, hivyo hutamani vya Mbinguni.

Ni kawaida Mwili kushindana na Roho, maana vyote vina destiny tofauti. Hivyo sio ajabu Mwanadamu huyuhuyu kuipenda Dunia na hapohapo akatamani mbingu.
Roho ni nini?

Eleza roho hiyo ina kaa wapi?

Na unathibitishaje kwamba roho unayo?

Na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Yo don't know what you're talking about..
You will weep bitterly after knowing the truth..
 
Uwezekano wa kugoma kuja duniani Haupo.

Kuishi milele Haiwezekani. Maana Nature iko hivi, Lazima viumbe wengine wafe ili wengine wapate pa kuishi.

Babu mzaa babu yako, Angekuwepo leo hii, Na ingekuwepo hivyo kwa binadamu wote na viumbe wote.

Unadhani nafasi ya kuishi duniani ingekuwepo kweli?

Si tungekuwa kama utitiri kila mahali.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwa nini unafikiri haupo uwezekano wa kugoma kuja duniani?,hiyo nature inayocontrol vp wakati mwanadamu ndio anaamua azae au asizae? Je unafikiri kuna uwiano kati ya wanaozaliwa na wanaokufa ikiwa binadamu ndie anaamua kuzaa au kutokuzaa?
Hii nature inabalance vp ikiwa mwanadamu na option ya kuzaa au kutokuzaa ila hana option ya kugoma kufa ,Je akiamua kutokuzaa kabisa nature itabalance kwa kuondoa kifo?

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni Hofu zako za kidini ulizo aminishwa.

Nakwambia hivi

Mbingu Haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nafikiri wewe ndio mwenye hofu.Kama una uhakika Kuwa Mbingu haipo kwanini uanzishe thread humu wakati wewe una uhakika Kuwa Mbingu haipo.Unategemea hapa ndio utapata majibu ya uhakika kama ipo au haipo.NB wewe mwenyewe hauna uhakika kama ipo ama haipo.
 
Nafikiri wewe ndio mwenye hofu.Kama una uhakika Kuwa Mbingu haipo kwanini uanzishe thread humu wakati wewe una uhakika Kuwa Mbingu haipo.Unategemea hapa ndio utapata majibu ya uhakika kama ipo au haipo.NB wewe mwenyewe hauna uhakika kama ipo ama haipo.
Nimeanzisha thread kukwambia kwamba mbingu haipo.

Na yeyote anayeweza kuja kuni prove wrong kwamba ipo aje na uthibitisho.
 
Back
Top Bottom