Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
UNAWEZA UKAPIGA UKATOKA BASHITEKama alikua anapiga msuli ulikua unategemea asitusue
UNAWEZA UKAPIGA UKATOKA BASHITEKama alikua anapiga msuli ulikua unategemea asitusue
Kumbe wewe ni demurafiki yangu shoga angu mmoja hivi alikuwa Bonge moja la doja shuleni. Haudhurii vipindi darasa,waalimu wakienda bwenini kukagua anapanda kwenye kenchi,siku moja akateleza akakanyaga silling board aliporomoka nalo akafikia kutua mbele ya mwalimu..
Rafiki yangu mwingine alikuwa bingwa wa kutembea na waalimu wa kiume wanaokuja either filed au waalimu wanaohamia pale. Since we tulikuwa tunasoma in girls school, and she is hot tottie aisee alikuwa anagegedwa na haoni aibu anaadhithia ticha Fulani,kibamia yule hana lolote anajitutumua assemble tu pale,simtaki tena Hata kumsikia. Au utasikia Yaani vile alivyo mpole ni analo la kumridhisha mwanamke yeyeto,afadhali awe mpole anitie peke yangu. Ashawashi sababisha waalimu wa field walipigana staff room kwa sababu yake halafu akawakana kama hawajui,akasema wanamtongoza tena kwa nguvu. Mkuu wa shule akwatimua wale majamaa walikuwa wanatoka chuo cha mkwawa. Tukawa tunamuita roza mistika
Yupo bana Inzi huyu anapanda ndege alipii nauli
Naamin ganja hajaachaAah aisee nilikuwa na rafiki yangu mmoja alikuwa mvuta bangi balaa, alikuwa hana habari kukaa darasani..yeye ni chaka kwa chaka na msuli alikuwa anapigia hukohuko porini...Alikuwa akionekana saa ya msosi tu..akishamaliza anasepa zake pori...Mwisho wa siku sikuamini alikuja kutusua na kwenda chuo, bahati nzuri alibadilika akawa raia mwema
Sasa hivi kabadilika mkuuNaamin ganja hajaacha
Hahahahaha kwamba rafiki yako ni mpigwa miti mubasharaaaarafiki yangu shoga angu mmoja hivi alikuwa Bonge moja la doja shuleni. Haudhurii vipindi darasa,waalimu wakienda bwenini kukagua anapanda kwenye kenchi,siku moja akateleza akakanyaga silling board aliporomoka nalo akafikia kutua mbele ya mwalimu..
Rafiki yangu mwingine alikuwa bingwa wa kutembea na waalimu wa kiume wanaokuja either filed au waalimu wanaohamia pale. Since we tulikuwa tunasoma in girls school, and she is hot tottie aisee alikuwa anagegedwa na haoni aibu anaadhithia ticha Fulani,kibamia yule hana lolote anajitutumua assemble tu pale,simtaki tena Hata kumsikia. Au utasikia Yaani vile alivyo mpole ni analo la kumridhisha mwanamke yeyeto,afadhali awe mpole anitie peke yangu. Ashawashi sababisha waalimu wa field walipigana staff room kwa sababu yake halafu akawakana kama hawajui,akasema wanamtongoza tena kwa nguvu. Mkuu wa shule akwatimua wale majamaa walikuwa wanatoka chuo cha mkwawa. Tukawa tunamuita roza mistika
Hahahahaha kwamba rafiki yako ni mpigwa miti mubasharaaaarafiki yangu shoga angu mmoja hivi alikuwa Bonge moja la doja shuleni. Haudhurii vipindi darasa,waalimu wakienda bwenini kukagua anapanda kwenye kenchi,siku moja akateleza akakanyaga silling board aliporomoka nalo akafikia kutua mbele ya mwalimu..
Rafiki yangu mwingine alikuwa bingwa wa kutembea na waalimu wa kiume wanaokuja either filed au waalimu wanaohamia pale. Since we tulikuwa tunasoma in girls school, and she is hot tottie aisee alikuwa anagegedwa na haoni aibu anaadhithia ticha Fulani,kibamia yule hana lolote anajitutumua assemble tu pale,simtaki tena Hata kumsikia. Au utasikia Yaani vile alivyo mpole ni analo la kumridhisha mwanamke yeyeto,afadhali awe mpole anitie peke yangu. Ashawashi sababisha waalimu wa field walipigana staff room kwa sababu yake halafu akawakana kama hawajui,akasema wanamtongoza tena kwa nguvu. Mkuu wa shule akwatimua wale majamaa walikuwa wanatoka chuo cha mkwawa. Tukawa tunamuita roza mistika
...huyu ndo muhuni sasa,kamvimbia mpaka sirGod;Haha hujaona wahuni. Man...
Kuna mtu anaitwa Kaini. Jamaa alimuua ndugu yake then MUNGU anamuuliza. Anamjibu kwani mimi mlinzi wake?
Mwanzo 4
8 Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]Ikawa walipokuwapo uwandani,Kaini akamwinukia Habili nduguye,akamwua.
9 Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?
Namkumbuka sana Kisamo Ninadia, huyu ilikuwa lazima apige konda kila asubuhi na jioni tukienda na kutoka shuleni pale Aza boys