Mbona iyo kawaida tu asa tukisema yetu jeeeHiyo ni siri nzito, ni ya kiroho!
Mm nikiwa nasafiri, ninakoenda sipajui, ila jina nalifahamu, njian wakat navuta picha sehemu niendako, nikfka inakuwa kama napafahamu, nabaadhi ya maeneo inakuwa hivyohvyo kama vile niliota au sio ndoto ni kweli napafahamu!
Sasa mm mtaniita nani??
aiseee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Awamu hii, hakika hadi "kupaa bila mabawa" kutatafakaliwa na kujaribiwa.
Ila acheni hizi porojo.
itakua inaenda mkuu ndo mana ikajengwa faster, au wewe ulihisije 😃Juzi wakati nipo katika gari (daladala) nimekaa siti ya mbele kabisa pembeni ya dereva, mara ghafla nikaona barabara mpya ya lami maeneo hayo tunayopita, sasa kutokana na ugeni wangu hapo nilitamani kumuuliza dereva kuhusu njia hiyo mpya. Lakini nilishindwa kumuuliza kwasababu dereva yule alionekana kama mtu mwenye mahasira sana hivyo nikabaki kimya tu huku nikitafakari uzuri wa barabara hiyo. Kitu cha ajabu sasa, mara ghafla dereva akaanza kujiongelesha mwenyewe " barabara hii bwana imejengwa faster sana duuu, au kwa sababu inaenda kwenye makazi ya Mzee pinda nini?
Spirituality that's mental message google for more training if the gift is real yooorsitakua inaenda mkuu ndo mana ikajengwa faster, au wewe ulihisije
Hahaha aiseMtoa mada pia nakushauri nenda center wanazofundisha kuandika
Kwanin hujaamua kutusaidia jins Ya kuifanya meditation yake, wengine tupo mbali sana na hao buhdamkuu nakushaur nenda meditation centre walau ata mara moja, utaelewa umuhimu wak coz sometimes inakuwa inakupa tahadhar juu ya kitu pasipo wewe kujua
Hiyo ni siri nzito, ni ya kiroho!
Mm nikiwa nasafiri, ninakoenda sipajui, ila jina nalifahamu, njian wakat navuta picha sehemu niendako, nikfka inakuwa kama napafahamu, nabaadhi ya maeneo inakuwa hivyohvyo kama vile niliota au sio ndoto ni kweli napafahamu!
Sasa mm mtaniita nani??