Recent content by shoemaker

  1. shoemaker

    UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

    Hivi vyoo bado vichafu tu mpka leo nakumbuka maeneo hayo palikua panatoa harufu balaa ukiingia kujisaidia humo hajo ndogo tu ukitoka unanuka vibaya
  2. shoemaker

    Naomba Ushauri: Nimejikuta nimeoa mke aliyepitiwa na wengi

    10 tu inakuuma mkuu. Wangu nilimuuliza nikashaanga ananiomba calculator nikamwambia basi mama yaliyopita si ndwele
  3. shoemaker

    Kuna Siri Gani Kwenye Kiapo cha Upadre!

    Kuna mzee moja mtaani alikua anavaa smart sana lakini anatembea uku anaongea mwenyewe yani ka zimeruka flani hivi, kuchunguza kumbe alikua padri akaacha lakini anawatoto wapo so successful ila ye ndo hazimo...vile viapo si vya mchezo mchezo
  4. shoemaker

    Kuna ushahidi wowote wa faith healing

    Hakuna kitu complex kama swala la imani..lakini nikwambie kitu MUNGU YUPO..afu dini ya kweli ipo ndani yako namaanisha matendo yako..tenda mema na uishi maisha yako kwa upendo ukiamini mungu yupo ...miracles will happen to you every day and you won't even notice. ...kingine wanaojiita walokole...
  5. shoemaker

    Omba omba wa Leo kanishangaza

    Sasa mkuu buku mbili tu umemfuatilia mpaka stend Je ungempa buku ten si ungemfuatilia mji mzima
  6. shoemaker

    Historia yangu juu ya punyeto na ngono jinsi nilivyopata uraibu

    You sound so stressed, psychologically distracted na inaonekana ni mtu uliekata tamaa na kupona kwa tatizo lako..miaka 24 unakata tamaa ??!! What's ur plan then ?? nyeto for the rest of your life ?? Bwana mdogo embu acha masihara, kaa chini utulize akili na kutafuta solution ya tatizo lako..ni...
  7. shoemaker

    Maabara nzuri ya afya jijini Dar.

    Unaweza kwenda lancet laboratory wapo Doctor's plaza pale morocco karibu na jengo la Airtel .hawana mlolongo mrefu
  8. shoemaker

    TCU yawataka waliothibisha chuo zaidi ya kimoja kuripoti chuo kimoja na kujisajili mara moja

    Sijawahi kuona utaratibu mbovu kama huu wa sasa badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma....malalamiko yote CAS ilikua imeyashughulikia kilichotakiwa ni kuiImprove tu CAS na sio kuitupa
  9. shoemaker

    Ni miaka 15 sasa tangia nianze kunuka sehemu za huku chini

    Sina unabii wowote tabia zenu tu zinajieleza..unafki mwingi..yani huwezi kuuelezea ukuu wa mungu bila kukandia dini/dhehebu jingine..huwa mnajiona ni watakatifu sana
  10. shoemaker

    Ni miaka 15 sasa tangia nianze kunuka sehemu za huku chini

    Pole sana ndugu. That psychological pain can't imagine. ..hakuna maumivu makali kama maumivu ya kisaikolojia..natumai watakuja watu wakuweza kukusaidia
  11. shoemaker

    Msaada wa kujua Dental clinic nzuri Arusha

    Mcheki huyu anaitwa Dr Mohamed Dhirani / 0754287350 ..hospital yake nimeisahau jina ila ipo hapo arusha..a very good dr aisee yani ni master wa braces ..he treated me once I had a very very complicated situation
  12. shoemaker

    Tatizo la kuzidiwa (homa) Kali nyakati za usiku

    Homa za jioni sometimes zinakua associated na TB Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom