UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

Sitaki kukumbuka adha hii jamani pale vyoo vya SR's looh!
 
kwanini usiwalaumu wanaotumia vyoo hivyo bila ustaarabu?
 
kama unataka vyoo visafi udsm ni vingi sana nenda kule coaf,udbs na conas kule
 
kwanini usiwalaumu wanaotumia vyoo hivyo bila ustaarabu?
Mkuu nafikiri ubora unatangulia ndio matumizi sahihi yafuate. Huwezi mlaumu anayetumia kabla ya kumlamu aliyepaswa kuweka mazingira safi
 
Nilivyokuwa nasoma Udom chuo cha vilaza nilikuwa najisaidia na kuoga msikitini..hakuna hata siku nilijisaidia choo cha hostel

Watu wengi ustaarabu 0
 
Najuta kuangalia hizo picha..
Kweli ni aibu sana kwa hapo kuwa hivyo..
 
Hivi vyoo bado vichafu tu mpka leo nakumbuka maeneo hayo palikua panatoa harufu balaa ukiingia kujisaidia humo hajo ndogo tu ukitoka unanuka vibaya
 
Mkuu ukienda udom ndo utadata
wakati mwingine hata watumiaji pia ni hole -dirtier maana ukiangalia mabibo hostel walikuwa pia wanatumia kama watoto wa primary vile, ustarabu ziro.wabongo walio wengi hata uwatengenezee vizuri aje utakuta mtu kaingia yupo tungi anaweka mzigo pembeni au anatapika kwenye sink la kunawia. uwanja wa mchina watu walikuwa wanakojoa kwenye masink ya kunawia.
 
UDSM kwa kweli vyoo janga hasa hivyo vya karibu na SR, hilo linathibitisha waafrika hawana ustaarabu!
 
Back
Top Bottom