Recent content by Shine

  1. Shine

    JamiiForums Tanzania Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?

    Mkuu apo umesema indirect
  2. Shine

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu aungwe mkono kwa vitendo si maneno tu

    Apo umesahau kura muhimu karibia kuliko zote ambao ni wafanya biashara wa nchi hii wamenyanyasika sana miaka hii mi5
  3. Shine

    JamiiForums Tanzania Mashine zinauzwa

    Mkuu unaweza kutuwekea picha ya hizo mashine za misumari tuzione?
  4. Shine

    JamiiForums Tanzania Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

    Bashite anawaita wa upinzani mzigo hawana wanachokifanya hivi kweli?
  5. Shine

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    ijoz, Hii kitu nakubaliana nayo by all % sema upungufu wa hawa watu huwa kumage hela na kuikuza biashara waliowengi hawawezi yaani kwa kifupi fikra zao zinaishia apo apo japo wachache wao wanaweza kukuza biashara. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Shine

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    CHASHA FARMING, Kweli mkuu umenena huwezi pewa mtaji na taasisi yeyote kama haujaianza biashara teyari tena wanaenda mbali zaidi wakitaka kujua umekwishaifanya kwa muda gani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Shine

    JamiiForums Tanzania TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Hii ni wengi hatuifuatilii japo baadhi ya ving'amuzi wamejitahidi kuondo local channel ili tuitizame ila bado Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Shine

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Okay ufaulu ukoje?
  9. Shine

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii sababu inatosha kuvunja uchumba ama nimeingizwa cha kike?

    Mshukuru Mungu kwa kila jambo maana hujui kakuepushia nn. Ila issue ni kwa mtoto jinsi ya kumweka upande wako hasa ktk imani
  10. Shine

    JamiiForums Tanzania Kumekucha UKAWA: Lipumba kutoa msimamo wa CUF leo saa tano Asubuhi

    Hivi lipumba kwa akili yake anaeza akajakuwa raisi wa tz hata kwa sekunde? ni bora akubali ili apewe angalao umakamu
  11. Shine

    JamiiForums Tanzania Kumekucha UKAWA: Lipumba kutoa msimamo wa CUF leo saa tano Asubuhi

    Sasa msimamo wa kivipi tena wakati lipumba alisema mambo machache yaliyobaki ya kujadili na hayatashindikana kuafikiana
  12. Shine

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa special thread

    Hahaaaa makanisa na misikiti waendelee kumwalika ktk harambeee tuone atakavochangia
  13. Shine

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

    Tatizo ni serekali kuwa mikononi mwa watu ndo maana wanakua hawaogopi wala kutetereka ktk kufanya maovu
  14. Shine

    JamiiForums Tanzania Madudu Yanayoendelea Njombe Kuhusu BVR Wakati uandikishaji Ni kesho

    Wala siyo ukata ni plan B ya ccm kujipanga ili kutengeneza mianya ya wizi
  15. Shine

    JamiiForums Tanzania Sivielewi vipindi hivi vya EATV

    Wanataka kutuonyesha wanavoishi maisha yao ya hali ya juu
Back
Top Bottom