SOGHOO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,268
- 568
Kapuya chali ,hata ubunge nao hati Hati! !
Huyu kijana mchapakazi Mh. Kapuya sikumuona kabisa pale ukumbini. Tuna kosa majembe hivi hivi, anyway najua uwaziri wa ulinzi unamsubiri au hata uwaziriri wa michezo ambao aliumudu sana.