Recent content by shibela

  1. shibela

    JamiiForums Tanzania ANDIKO LA MCHEKESHAJI SHAFII, LIMENIUMIZA SANA, MI KAMA KIJANA,

    Huyo bint angekuwa ni mwanao ungemuozesha kwa mhuni?
  2. shibela

    JamiiForums Tanzania ANDIKO LA MCHEKESHAJI SHAFII, LIMENIUMIZA SANA, MI KAMA KIJANA,

    Sasa hapo umeona Kuna muoaji ndugu mleta Mada?
  3. shibela

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Utaratibu ni ule ule kuelekezana taratibu🤗🤗🤗
  4. shibela

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Kumbukumbu halisi ya maisha ya nyuma
  5. shibela

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu nimetimiza milion 200 yangu kwanza?

    Ziheshimiwe fikra zako ndugu mwenyekiti,utafika mbali🤗🤗🤗🤗
  6. shibela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni mnipe sifa za mgogo?

    Mwenye dada hakosi shemeji mpe sifa kijana apate kipozeo pengine atanogewa!
  7. shibela

    JamiiForums Tanzania Mke adaiwa kumuua mumewe kwa sindano yenye sumu

    Unaacha uhuni unakituliza nyumbani!
  8. shibela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

    Ni sawa nakusema mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za Kiume ni special kwa wanawake wanaojielewa tu,Ina maana akienda tofauti na hapo ni maumivu!
  9. shibela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

    Kila mtu ashinde mechi zake sishabikii watu kuzaa zaa tu bila mipango! Lakini pia sipendi watengwe au wahesabiwe kuwa wote ni wahovyo!
  10. shibela

    JamiiForums Tanzania Mke adaiwa kumuua mumewe kwa sindano yenye sumu

    Oa kijana acha uhuni!
  11. shibela

    JamiiForums Tanzania Mke adaiwa kumuua mumewe kwa sindano yenye sumu

    Kakuua ni vile wewe ni mhuni!
  12. shibela

    JamiiForums Tanzania Je mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kuzaa??

    Vipi kuhusu ushauri wako kwake?
  13. shibela

    JamiiForums Tanzania Je mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kuzaa??

    Tatizo dogo sana Hilo,aendelee kuwaona wataalamu na afuate ushauri! Umri wake hauna shida!
  14. shibela

    JamiiForums Tanzania Je mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kuzaa??

    Ka Yuko vizuri vipi Tena braza,wakati bibie tayari mjamzito!
  15. shibela

    JamiiForums Tanzania Tuwape maneno ya faraja na kuwatia moyo wanaume wenzetu wanaopigwa na wake zao huku wakiuchuna kana kwamba hawapigwi

    Lazima nilinde afya yako kwa kukupa mbogamboga za kutosha,maji na matunda,si unajua nyama nyekundu sio nzuri?🤪🤪🤪🤪🤪
Back
Top Bottom