Labda anataka awe anaweka mkono tu kwenye kitumbua. Ila kazi atasaidiwa na vijanaMiaka 86 kwa miaka 20. Mmh.
Hahahaaa. Aibu nimeona mimi Kipenzi Changu. 🙈Labda anataka awe anaweka mkono tu kwenye kitumbua. Ila kazi atasaidiwa na vijana
Na hapo ndo itakuwa hivyo na si ajabu huyo huyo mwanae aliyemuacha ndo akawa anamsaidia faza.Labda anataka awe anaweka mkono tu kwenye kitumbua. Ila kazi atasaidiwa na vijana
Hakuna cha mali. Mwenzio kamfia Ba mkwe..!Ila wanawake na Mali😀😀😀😀😀😀😀
Asante mkuu kwa mawazo yako,hoja iko kwa mtume kuoa mke wa kijana wake,hapa una maoni Gani ukirejea Aya niliyoweka!?Unaona kabisa jina limeandikwa mary wewe unawasemea waislam vichwa vingine banah..
Hao ni wagogo kawaida kabisa kuwa na wake hata kumi.
Sasa mgogo na uislam wapi na wapi.
Mgogo ni kama jamii ya kisukuma bila kujali uwepo wa dini lakini wao kuwa na wake wengi ni jadi yao.
Muwe mnafatilia mambo kuliko kufunga vichwa.
Thubutuuuuuu,baba mkwe asingekuwa na ng'ombe angekubali huyo?Hakuna cha mali. Mwenzio kamfia Ba mkwe..!
Cha ajabu unaeza kuta huyo babu hana mali kihivyo, unakuta kipato chake kwa mwezi hakifiki laki 3 shibelaThubutuuuuuu,baba mkwe asingekuwa na ng'ombe angekubali huyo?
Hapana mkuu hoja ni baba mkwe wa mary kumuoa mary aliekuwa mke wa mwanae.Asante mkuu kwa mawazo yako,hoja iko kwa mtume kuoa mke wa kijana wake,hapa una maoni Gani ukirejea Aya niliyoweka!?
Lete aya Acha kumchafua mtumeLabda ni suna, mtume Muhammad alimuoa mtalaka wa mtoto wake pia.
Huyu baba bila shaka alikuwa anamla huyu mke wa mwanaye kabla hata hajatarikiwa, sio bure. Hivi anajisikiaje anapojaza m.boo yake mahali ambapo m.boo ya mwanaye ilipita?View attachment 3631819
Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Klarensi Usakazi (86), mkazi wa Kitongoji cha Mbisi, Tarafa ya Chipanga, Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, aliyeamua mtalaka wa mtoto wake ‘mkamwana’ aitwaye Mary (20) baada ya wazazi wake kudai kutokuwa na uwezo wa kurudisha mahari.
Hata hivyo, Mary anakuwa mke wa nane kwa Usakazi, wakiwamo wengine watatu wa familia moja ‘pacha’, ambao anadai kufurahishwa na tabia ya ukoo wao hadi kufikia uamuzi wa kuwaoa.
Usakazi mwenye ukwasi wa mifugo karibu kila eneo la Tarafa ya Chipanga alimuoa Mary Chaina (20) kupitia ndoa halali ya kimila iliyofanyika Januari 25, 2024, baada ya kuolewa na Fredrick ambaye ni mtoto wake.
“Ni kweli alikuwa mke wa mtoto wangu Fed (Fredrick), lakini waliishi mwaka mmoja na wakaanza kusumbuana. Mimi nikaona bora nimuoe ili kijana akatafute mke mwingine anayempenda na alifanya hivyo. Nikalipa mahari,” amesema.
Ameoa mjukuu ili awe anatombewa na wajukuu. Huyo mke amewaoelea wajukuu. Safi sana.Miaka 86 kwa miaka 20. Mmh.