Recent content by Shettedenis

  1. Shettedenis

    Katuni Yamuibua She-Buda

    Waswahili wanasema "mtoto wa mwenzio mshike akiwa amelala akiamka mrudishe kwa mama yake"
  2. Shettedenis

    Iphone 6 plus 16gb

    Bei gani Mkuu
  3. Shettedenis

    TANESCO yaamriwa kuzima umeme

    Moshi hakuna umeme kwasasa
  4. Shettedenis

    Muwe makini mnapo chaji simu zenu angalia huzuni hii

    Suluhisho ni kuweka password kwny simu ili mtu mwngne asiweze kuitumia bila ridhaa yako. Hasa password kwny folder lenye picha
  5. Shettedenis

    Bandiko la leo

  6. Shettedenis

    Nikki wa pilli alamba shahada ya uzamili(Masters)

    Hongera kwako Nikki wa Pili. Kuwa kioo kwa wengine wajifunze kwako, kujiendeleza kielimu.
  7. Shettedenis

    Msaada wa mawazo na ushauri, please only serious people here

    Kabla ya kuleta malalamiko hapa JF. Umeshawahi peleka malalamiko kwa walezi wenu wa ndoa au hata kanisani? Anzia kwny ngazi ya familia na washenga. Ikishindikana tafuta msaada wa kisheria. Pole sana kwa changamoto
  8. Shettedenis

    What Killed Arafat? Swiss scientists say he was Poisined (Polonium)

    Serikali ya Palestina ni kama ilikosa imani kwa team ya waandishi wa habari ya Aljazeera. Hata ule uhuru wa kukusanya habari ulikua shida kwao.
  9. Shettedenis

    Nimekuchagua Wewe...!!!

    Huo wimbo unanikumbusha wakati nikiwa A level, tukizamia harusi kwenye ukumbi wa shule
  10. Shettedenis

    Shughuli za wachina nchini Tanzania

    Kumekua na wimbi kubwa la raia wa ki china kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ndani ya nchi yetu tukufu. Malalamiko mengi yamejitokeza kuhusiana na uhalali wa shughuli za wachina hawa, hasa karakana na viwanda bububu mitaani. Baadhi ya watanzania kutokana na ugumu wa ajira wamekua wakifanya...
  11. Shettedenis

    vits for sale

    Ina scratch ubavuni.
  12. Shettedenis

    Wadada makazini jamani mtatuvunjia ndoa

    Mkuu, hapo umekosea na tayari uneshamcheat mkeo hata kama hujafanya tendo la ngono na huyo dada. Huyo dada japokua anatambua kua unamke lkn lengo lake ni kukupata kama mpenzi wake. Ushauri, vunja mahusiano hayo ya kimapenzi na huyo dada. Heshimianeni kama kaka na dada na urafiki wenu udumishwe...
  13. Shettedenis

    What Killed Arafat? Swiss scientists say he was Poisined (Polonium)

    Mkuu nilipata fursa na kuangalia hiyo documentary. Inasikitisha sana. Aljazeera wamejitahidi sana kuleta makala haya kwa changamoto nyingi
  14. Shettedenis

    Picha za kishamba!!

    Kupiga picha umeshikilia pesa
Back
Top Bottom