Recent content by she-eagle

  1. she-eagle

    Ni nini mtazamo wako wewe mwanandoa katika scenario hii

    Kwa kweli kuolewa na mtu ambaye amefiwa na mwenza wake ni mtihani mkubwa sana. Sijapitia comments nyingine huenda umeshaambiwa bali si vibaya na mimi nika share my own experience. Mama yangu alifariki na mshua akaoa tena, lakini mpaka mshua na yeye anafariki hakuna siku inapita hajamtaja...
  2. she-eagle

    Ofa ya kujifunza Kifaransa maeneo ya Mlimani City

    Will appreciate that, I am planning to start in January
  3. she-eagle

    Ofa ya kujifunza Kifaransa maeneo ya Mlimani City

    teh teh teh was trying to push my luck, huenda anapenda kuendelea ku-practise
  4. she-eagle

    Ofa ya kujifunza Kifaransa maeneo ya Mlimani City

    Is this offer still valid? I am interested.
  5. she-eagle

    Njia ya maisha yako inapofungwa ghafla, sehemu ya pili

    wewe ni Mtambuzi ? Ama umeamua kuchangamsha genge Mama anauawa kisha unashuhudia njia ya maisha yako inapofungwa ghafla...! SEHEMU YA MWISHO
  6. she-eagle

    Bado wanaume wa style hii wapo?

    We kiboko...! Unasema ukweli mpaka raha, bitter truth though
  7. she-eagle

    Jamaa kamfumania mkewe akiwa na boss wake, kuua soo amkabidhi dereva lori

    Hainaga shombo wala makombo, kwanza ndio azidishe mapenzi maana kamfanya apate mtaji la sivyo angekua dereva siku zote!
  8. she-eagle

    Kwaheri mchepuko Wangu

    Kesha kuchoka maskini, rudi njia kuu. By the way huyo mchepuko ni "side-chick" ama "side-hen"?
  9. she-eagle

    Wivu kwa mchepuko

    Ha! kumbe ni wewe baba naliu...duh!
  10. she-eagle

    Ni wapi naweza kutrack simu iliyopotea kwa IMEI (Dar)?

    Pole. Ukifanikiwa please nistue na mimi ni muhanga budebajr
  11. she-eagle

    Today is my special Birth day!

    You sound like my bae...it's his birthday leo pia. Anyways whether it's him or not happy birthday kbosho
  12. she-eagle

    Message of the day!

    Hahahahah Evelyn Salt you made my day girl!
  13. she-eagle

    Nimemuadhibu mdogo wangu sasa wazazi wana hasira nami

    Umefanya vizuri kuondoka ili hasira ipungue, ila sikushauri ukatize likizo for such a minor thing. Kha umepita jeshi kweli wewe kitu kidogo tu hicho you want to pack and leave? Ukioa/ ukiolewa je? Ukishakuja kuwa mzazi utaelewa kwanini wazazi wako wako vile towards huyu mdogo wako. Halafu pia...
Back
Top Bottom