Kwaheri mchepuko Wangu

Kwaheri mchepuko Wangu

Kesha kuchoka maskini, rudi njia kuu. By the way huyo mchepuko ni "side-chick" ama "side-hen"?
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Na wewe hiyo "sio" yako mmmhhh..kilaza tu.
Note; sio= siyo?
 
asante mkuu.. halafu ndiyo inakuja eti single mama,........... mazafanta mfyuuuuuuuuuuuuuu

Hahaha. Kweli kabisa.

Sometime wengi hawatazami adhari inayotokana na maamuzi wanayofanya. Wanaona kawaida lakini kuna impact kubwa sana kwa mwingine. Ni vyema kuangalia impact ya maamuzi.
 
Hahaha. Kweli kabisa.

Sometime wengi hawatazami adhari inayotokana na maamuzi wanayofanya. Wanaona kawaida lakini kuna impact kubwa sana kwa mwingine. Ni vyema kuangalia impact ya maamuzi.
kweli kabisa.
 
achana na hiyo itakugharimu soon or later.. kuwa mwanaume si kudinda na kuchomeka kwenye kila uke.. mwanaume anayejielewa anayeheshimu familia yake na kuangalia future ya familia yake kimaendeleo, HAKUNA MWANAUME ALIYEWEKEZA KWENYE MBUNYE AKAFANIKIWA ZAIDI WANAKUPOTEZEA MUDA.. REFER TO KING SOLOMON.......... familia yako kwanza mkuu... embu kaa mwezi bila kuchepuka bila kutongoza mwanagalie mkeo alivyoumbika mpe nafasi yake mtoe out uone kama hutafurahia maisha
Akishindwa kufuata ushauri huu itamlazimu akafuatilie uelekeo wa grafu katika cheti chake cha kuzaliwa aseeee
 
achana na hiyo itakugharimu soon or later.. kuwa mwanaume si kudinda na kuchomeka kwenye kila uke.. mwanaume anayejielewa anayeheshimu familia yake na kuangalia future ya familia yake kimaendeleo, HAKUNA MWANAUME ALIYEWEKEZA KWENYE MBUNYE AKAFANIKIWA ZAIDI WANAKUPOTEZEA MUDA.. REFER TO KING SOLOMON.......... familia yako kwanza mkuu... embu kaa mwezi bila kuchepuka bila kutongoza mwanagalie mkeo alivyoumbika mpe nafasi yake mtoe out uone kama hutafurahia maisha
Miss Chaga nimekupenda bure
 
Hivi kweli we umeoa unawezaje kuwa na wivu na mchepuko nakushauri mpr talaka mkeo tu mana humtendei haki pumbavuuuu zakoo
 
Ungesoma engineering usingeli kuwa una BWABWAJA katika uandishi wako....

Sio "nimeona na nina familia" sema "nimeoa na nina familia"

Sio "nikakuomba radhi" sema "nikamuomba radhi"

Sio "abadai yuko ofisini" sema "anadai yuko ofisini"

Sio hukupokea simu" sema "hakupokea simu"

Sio "hutaki kuongea" sema "hataki kuongea"

Sio "Mwenge ushauri wowote" sema "Mwenye ushauri wowote"

Mlikua wapi kusoma Engineering.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng

Asante kwa darasa zuri, mimi ni mmoja wapo nilie nufaika na masahisho hayo.
 
Hehehee... Unampenda sana ila unaomba ushauri. Huezi kumuacha huyo.
Labda usingekuwa mwanaume wa dar kidogo ungefanya maamuzi mahumu
 
she is no longer in love with your wallet,leave her immediately before she destroys your marriage!!!!!
 
achana na hiyo itakugharimu soon or later.. kuwa mwanaume si kudinda na kuchomeka kwenye kila uke.. mwanaume anayejielewa anayeheshimu familia yake na kuangalia future ya familia yake kimaendeleo, HAKUNA MWANAUME ALIYEWEKEZA KWENYE MBUNYE AKAFANIKIWA ZAIDI WANAKUPOTEZEA MUDA.. REFER TO KING SOLOMON.......... familia yako kwanza mkuu... embu kaa mwezi bila kuchepuka bila kutongoza mwanagalie mkeo alivyoumbika mpe nafasi yake mtoe out uone kama hutafurahia maisha
No comment mkuu.... It is very complicated...
 
Jaribu kumshirikisha mkeo hili jambo ila fanya kama unamhadithia kisa cha mtu flani.
Atakachoshauri fanyia kazi.
 
Back
Top Bottom