Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Hahaaaa!! Hakunipa hata mia sasa.Huyo atakuwa analilia hela yake uliomlia.
Hahaaaa!! Hakunipa hata mia sasa.Huyo atakuwa analilia hela yake uliomlia.
Hua tunalia kwa kuigiza ili kupata papuchi au kusamehewa kama umefumwa na msg za mchepuko au live live kabsa.
Hua hatulii kumaanisha.
Vicks hua pia inahusika mkuu
Habari wakuu,
Naomba tu kujuzwa, bado kuna wanaume ambao wanapenda mpaka wanalia kabisa?
Sanaa... Nawe njoo utest kama hujalia..Ulimi wako laini?!
Usiwasemee wenzio.Hua tunalia kwa kuigiza ili kupata papuchi au kusamehewa kama umefumwa na msg za mchepuko au live live kabsa.
Hua hatulii kumaanisha.
Vicks hua pia inahusika mkuu
Kumbe!Wapo ambao vichwa vyao vya chini vinatoa machozi kuliko kichwa cha juu
Mhhhhhhh ....... Hell No.....!!!! Hawapo kabisa wanaume wa aina hiyo kabisa na kama wapo wanajiliza uongo uongoooo wapewe papuchi full stop.
Hahahhahahhahh hahhaahhhahhaLabda una bahati mbaya mkuu. Tunalia hadi kwa sauti