Gains maana kuaga maiti,nikuwapa misemo watu,utaskia kama mzima,wengine kavimba kila mtu atasema lake.Suala lakutambua maiti na kuaga ni tofauti bwana jamiink!!
Leo nilipokua nikiskiliza kipindi cha DW, spika wa bunge Uganda amewaambia wanaume wasioe wanawake waliokeketwa ikiwa kama njia yakuondoa ukeketaji. Je,itasaidia? Nipe maoni yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.