Recent content by shax5

  1. S

    Jamani nimeamua kuokoka

    Umeamua kuwa mnafiki,mlokole wa dhati hajitangazi
  2. S

    Vijana wazalendo waliokuwa wanaelekea Ikulu wamekamatwa!

    Huo kweli ni uonevu,kwani mkuu wa wilaya ukiwaruhusu kipi unachopungukiwa?
  3. S

    Utamaduni wa kuaga mwili wa marehemu (Maiti)

    Gains maana kuaga maiti,nikuwapa misemo watu,utaskia kama mzima,wengine kavimba kila mtu atasema lake.Suala lakutambua maiti na kuaga ni tofauti bwana jamiink!!
  4. S

    Vijana Kwanini Tumeacha Kwenda Kwenye Nyumba Za Ibada?

    Tumeacha kwenda kutokana na ibirisi kututawala,lakini pia viongoz wa dini kutupangia sadaka
  5. S

    Kabla hujakimbilia kununua smartphone za Tigo, soma hapa ili usije kulia baadae!

    Rose sweetroy,pole ila mie nakukataria kabsa,huaweii yangu ni y330 naitumia kwa line za mitandao yote.
  6. S

    Kamati kuu CHADEMA angalieni Huu ushauri

    Ushauri swadakta kabisaaa.
  7. S

    Mtoto wa Jaji Kipenka Musa anunuliwa, CCM kuzidiwa!

    Hivi ukawa mnashughulikia suala la wagombea waloenguliwa?
  8. S

    Kati ya prof. Lipumba, James Mbatia na dk Slaa nani anafaa kupeperusha bendera ya UKAWA

    Wote wanafaa,ila Slaa anahitaji kupumzika ktk majukum mazito
  9. S

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Kiba anauwezo kuliko Nassib,tatizo la Kiba hajitumi tu.Kiba, jitume kama Nassib uone kaka!!!
  10. S

    Tuzungumze magazeti asubuhi kutoka star TV

    Hao nazani hawana pm katika ofisi zao na hunikera mno pia Mimi.
  11. S

    Ukeketwaji kwa wanawake

    Leo nilipokua nikiskiliza kipindi cha DW, spika wa bunge Uganda amewaambia wanaume wasioe wanawake waliokeketwa ikiwa kama njia yakuondoa ukeketaji. Je,itasaidia? Nipe maoni yako.
  12. S

    Kigamboni kwa Chagani (kwa machangudoa) kunasikitisha

    Unasikitika nni sasa? Wacha watoe huduma bhana! Wateja wao ndo wawe makini tu
  13. S

    Mama Rwakatare CCM amefikishwa Polisi kwa kosa la Kubomoa Nyumba

    Huyu ni mchungaji mkumbuke,anafanya hayo kwa maono
  14. S

    Sakata la escrow

    Je,watuhumiwa wapi wamewajibishwa?
Back
Top Bottom