Mtu anaulizia utaratibu mnaleta story eti je? una document Sasa ntanunua bila ya docs .Mara jamaa alinunua gari likaharibka!!
Mpe utaratibu Kama unajua ndicho alichoomba
Naam yupo kamaliza CBE procurement na ana CSP afu Yuko Botswana huko anamaisha mazuri tu kafungua kampuni zake huko,
Afu note kuwa huko hawaulizi umesoma Harvard au hotel management ni kichwa chako kinawazo wazo gan la kuweza kuajiri wengine ,Tena wengine hawana shule na niwafanya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.