Recent content by shauritanga one

  1. S

    Gharama za kutoa gari Zanzibar 2022

    Mtu anaulizia utaratibu mnaleta story eti je? una document Sasa ntanunua bila ya docs .Mara jamaa alinunua gari likaharibka!! Mpe utaratibu Kama unajua ndicho alichoomba
  2. S

    Kipindi cha Madini.com East Africa Radio kina madini mengi sana

    Kinahusu nn tuelimishe Kwanza ili tusukilize
  3. S

    Namibia ni nchi nzuri kuliko nchi zote za Afrika, vijana nendeni mkaone

    Naam yupo kamaliza CBE procurement na ana CSP afu Yuko Botswana huko anamaisha mazuri tu kafungua kampuni zake huko, Afu note kuwa huko hawaulizi umesoma Harvard au hotel management ni kichwa chako kinawazo wazo gan la kuweza kuajiri wengine ,Tena wengine hawana shule na niwafanya biashara...
  4. S

    Jenga na tofali za kisasa za mwamba! Zisizo na gharama ya plasta kwa nje

    Nipe Bei ya kibaha kwa tofali moja mkuu
  5. S

    Mipango ya Wahaya kuishi kama wazungu 1950

    Safi kyoma uko vizuri umeiva
  6. S

    Kazi za SGR Makutupora-Tabora

    Tuma tangazo tusome ili tukwambie asante
  7. S

    Nahitaji Chupa Za Bia na Soda

    Chupa za bia na soda kreti ngap?
  8. S

    Mke wa mtu sumu: Msela nondo anapigania uhai wake Bugando

    Kwani wanaokojozwa na wanaume zao hawana michepuko?
  9. S

    House4Rent Nyumba inapangishwa Tabata Shule laki mbili kwa mwezi

    Weka picha na mazingira yake tuone wote sio PM si biashara au
Back
Top Bottom