Mmmhhhh mi wakwangu ninoma kila mwezi anaomba hela asipotumiwa namwanae anasemanini nimwambie mwanae anitumie kwakua minimke wake ndugu zake wote macho kwa kakayao wakati ndotunaanza maisha na mbaya zaidi yupo chuo sasa huwa sielewi hawana hata huruma nivisirani balaa
Asilimia kubwa ya wanaume masikini huonyesha mapenzi ya dhati atawahi nyumbani mapema kabla ya saa 2, atakushirikisha mambo yake yote, atakua muwazi, atakusaidia kupika, kubembeleza mtoto siku akikosa hata mia atakwambia vumilia mke wangu ipo siku yatapita mkila ugali maharage mtaridhika kifupi...
Hinikutokana na malezi utakuta mtu mfano jumamosi na jumapili ikifika saa8 akisha kula chakula anaoga anavaa huyoooo hata kusema tu baadae au naenda sehem ningumu yani tabia ka zambwa!lo minakerekaga sana
Bahati mbaya umri wakuolewa bado bat naona majirani wanavyo wa nyanyasa wake zao sijaamua kuingia huko maana naona wengi wanalia nawanatamani kutoka sinachapombe na mm niswala 5
Asilimia kubwa ya Wanaumewa nao kuywa hurudi usiku pia nimeleta hii hapa kutokana natukio limetokea mtaani kwetu doctar na mwalimu walikaa bar kwanzia saa9hadi sa10 usiku ndowanarudi home sasa doctor mke wake ninesi alivyo rudi alianza kutapika ndomke wake akaanza kumuhudumia ulivyo fika saa12...
Wanaume mlooa jueni kuzihendo ndoa zenu nyie ndio mmekua chanzo cha kuharibu watoto wetu mnaturudia usiku mkiwa mmelewa, mnatutukana mbele ya watoto mnatupiga nk, mtoto hujifunza baya na zuri kupitia kwa Mkubwa, sasa nyie wababa msipo jitambua nakujiheshimu mnategemea tuwaheshimu kwatabia zenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.