Hakuna ngoma droo ndio maana watu husema matendo ambayo hufanywa na mtu akiwa na furaha sana au hasira sana huchukuliwa kama yamefanywa na mtu ambaye amechanganyikiwa!Hahaaa,Hapo ngoma droo mkuu
Nimewazinguaje?Hiyo ni Filamu ya kibongo nishaiona acha kutunzingua
Inafundisha usipige mke wa mtuHuyo aliyeiandaa hiyo script ni mjinga..typical bongo movie..inafundisha maadili gani sasa???pathetic!
Al muhim movie imeishamiaka ya baba ilikuwa haisogei mpaka binti anafikisha miaka 18. lakini ni kawaida kwa siku hizi mzee wa miaka 48 kuzaa na binti wa miaka chini ya 18
Hilo sio fundisho mkuu..kiafrika kitanda hakizai haramu!la sivyo itafundisha wanaume wote ambao wanalea mabinti ambao si wao ni halali wawatafune!in real life hakuna kitu kama hicho..hakuna mwanaume atakayevumilia kumwona mke wake kazaa mhindi !!!atamfukuza palepale!only in movies!Inafundisha usipige mke wa mtu
Waume wengine vichaa
"Muhindi" is just a caracterHilo sio fundisho mkuu..kiafrika kitanda hakizai haramu!la sivyo itafundisha wanaume wote ambao wanalea mabinti ambao si wao ni halali wawatafune!in real life hakuna kitu kama hicho..hakuna mwanaume atakayevumilia kumwona mke wake kazaa mhindi !!!atamfukuza palepale!only in movies!
Ndio inaitwa "Fedhea" ipo youtubeKumbe Ni bongo movie.....???!!!!