Wanaume mliooa badilikeni

Wanaume mliooa badilikeni

Bora umesema. Ulevi ni tatizo kubwa. Huwa nashangaa inakuwaje mtu mzima na akili zako ulewe mpaka u lose control. Ni ajabu....

Raha ya pombe ni kulewa... Ni kama kufanya mapenzi tu, usipofika vilele umetiwa shombo tu.., haina maana.
 
Mme anae lewa nakurudi usiku wamanane huyo simme bora nibora mme alafu wanaume wa dizani hii wake zao niwapole sana
 
Mme anae lewa nakurudi usiku wamanane huyo simme bora nibora mme alafu wanaume wa dizani hii wake zao niwapole sana
Umeona eh...mi nadhani upole wa wake zao ndio unaowapa viburi hata wanadiriki kurudi asubuhi maana wanajua watawakuta wake zao nyumbani, watafunguliwa milango na hawatagombezwa.
 
Pombe tunakunywa lkin hatuna mambo ya kishamba hayo aisee, mara nyingi hii iko vijijin unakuta mlevi ameibiwa mbuz anaenda kukata gogo bara baran kupungunguza hasira, hahaa hahaa.
 
Umeona eh...mi nadhani upole wa wake zao ndio unaowapa viburi hata wanadiriki kurudi asubuhi maana wanajua watawakuta wake zao nyumbani, watafunguliwa milango na hawatagombezwa.
karibu Pm bibie nakuahidi kurudi saa kumi na Mbili endapo utakubali Ombi langu
 
Pole, utakuwa mumeo mlevi wengine hapa mapema tuko home....

kurudi kwako mapema home unadhani ni utashi wako tu au ni uwezo wa " miziziology " ya mkeo ambayo pengine wewe hujaigundua mkuu?
 
Back
Top Bottom