Mapacha Waolewa na Mume Mmoja (siyo Eritrea Please)

Mapacha Waolewa na Mume Mmoja (siyo Eritrea Please)

mbona kama wamefanana na huyo mwanaume pia
 
mapacha ndio walivyo...mwaka fulani niligonga mapacha wa kiarusha hivyo hivyo...Glory na Gladys wenyewe wanapenda kushea pia
 
Ama kweli Dunia ina mambo na ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni.
 
Wanawake mlioko humu:::

Chukulia ni wewe na pacha mwenzanko....mngeweza kufanya hiki kitendo?

Mngevumiliana au ndo mngelogana ?
 
Ndio maana hamkuzaliwa mapacha...
Inasemekana mapacha huwa na moyo mmoja.
Ukimpa kichapo mmoja na mwingine anapata maumivu inaweza kuwa hata raha wanapata wote
Na kweli mwee naomba nkizaa mapacha mmoja awe wa kiume mwingine wa kike
 
12642543_1502556206717932_99913236048936896_n-jpg.321128
 
Nisha ona mtu na mdogo wake makambako wameolewa na mme mmoja naniwatu wazima ndoa ya kiislam wanapendana sn
 
Back
Top Bottom