Wanaume mliooa badilikeni

Wanaume mliooa badilikeni

Niwewe sasa ilaukipata mme anae rudi mapema kweli niraha mtataniana mtacheka utampa chai na katanga nk
 
Eeh Mungu mapenzi yako yatimizwe maishan mwangu. Amen
 
Sawa tutajirekebisha ila tunaogopa kujibadilisha si tutakuwa masokwe sasa!

BTW, Epi Nyuu Ia 2017
 
mwanaume anayewahi home raha sana wewe mara umempatia kajuice, mara ukipika nyama umemuonjesha kajisupu . tabia za watoto anazijua vyememaaa
Huyo mwanaume au poyoyo!? Mambo ya kuonjeshana supu umri huu!? Nionjeshe papuchi na mengineyo. Supu muonjeshe baba mkwe.
 
Niwewe sasa ilaukipata mme anae rudi mapema kweli niraha mtataniana mtacheka utampa chai na katanga nk
Mambo ya chai na karanga peleka kwenye Maulid. Leta papuchi na Chuchu hizo nizibugie Kama zabibu mbivu.
 
Wewe umeolewa na mlevi....
wenzio wengine wameolewa na wanaume saa moja wapo ndani
hadi wanatamani wangeenda kunywa wachelewe kurudi

Kanuni ya maisha ni ile ile na haijawahi kubadilika, kizuri ni kile alichoshika mwenzio...

Ila huyu kakutana na chapombe tena mbaya zaidi. Walevi wengine wanapiga pombe zao ila hawawageuzi wake zao punching bags!
 
Wewe umeolewa na mlevi....
wenzio wengine wameolewa na wanaume saa moja wapo ndani
hadi wanatamani wangeenda kunywa wachelewe kurudi

Matatizo yanatofautiana yeye kaongelea huo upande mmoja wa "walevi" ila kama anawahi kurudi alafu unatamani achelewe ujue hapo napo pana shida.
 
Unaonekana mwanamke mwenye nongwa sana,ndo mana mumeo anakurudia usiku wa manane huku kalewa sababu ya gubu zako.
 
Kuna siku nawahi, kuna siku nachelewa, kuna wakati nasafiri kabisa hata wiki atachagua mwenyewe anapenda ipi. Ila bado sijasikia malalamiko labda kwa vile bado sijarasimisha
 
Bahati mbaya umri wakuolewa bado bat naona majirani wanavyo wa nyanyasa wake zao sijaamua kuingia huko maana naona wengi wanalia nawanatamani kutoka sinachapombe na mm niswala 5
 
Tatizo wanaume wengi ambao hawanywi pombe wanakuwaga na tabia za KIKEEE.., wanakera sana. Umbea umbea,majungu majungu, fitna..
 
Kila mtu na ladha yake. Wengine wanatamani kuishi na wanaume/wanawake walevi...
 
Back
Top Bottom