Yaani upande wakinamama wajawazito ni shida sana unaweza kufa kwa gloves tu kama hujaenda nazo hutopata huduma lambda ununue kwa Nesi husika.mi huwa najiuliza hivi izi wanazouziwa wagonjwa manesi wanazipata wapi kwa kweli inauma sana ukizingatia mtu unakatwa hela chungu nzima Za kod.kwa kweli...
Zanzibar spices; naona hujanielewa mi nadhani Luna tofauti Kubwa sana ya fursa na kulipa wewe umeongelea kua biashara yangu inalipa sio ivyo unavyofikiri wewe Mimi nimemaanisha kua biashara niliyofungua mtaani kwangu ni tegemeo kwao cha kusikitisha sijawahi kula matunda ya biashara yangu ingawa...
Babu kizee naamini kuwa wewe ni,mwanaume kwa kuwa wewe ni mfanya kazi basi fanya hivi katafute nguo za mtumba chagua nzuri za kike na za kiume zipasi vizuri weka katika bag ukifika kazini kwako anza kuwaonyesha wenzio na kama utaweza zungusha maeneo mbali mbali hasa maofisini mfano suruali...
iMind hata mimi yamenikuta nimejitahidi karibu mwaka na nusu sasa ila kwa sasa nimemwaga manyanga yaani nimeshindwa kwanza wafanyakazi pasua kichwa unamtumia nauli anakaa miezi miwili anadai kuondoka anaondoka anaacha sehemu ya biashara imefungwa mpaka ukija kufungua tena wateja washasahau khs...
Dah! Nimeisikia iyo kama kweli Tanzania tupo pabaya wamebadili stail mwanzo ilikua albino sasa watoto maisha haya ya wasiwasi katika nchi yetu mpaka lini? Kama kweli serikali ichukue hatua jamani
Serekali iamke jamani hali ni mbaya sana kama uku kwetu kinondoni/ mwananyamala utamkuta teja la unga kabeba panga na anatembea nalo hadharani wala hachukuliwi hatua yoyote halii hii inakera na inatisha sana kwa raia wema! serikali ikishirikiana na wananchi tuwe mstari wa mbele kukemea vitu kama...
Inasikitisha sana na jambo jingine mimi linanishangaza sana hivi kwa nini serekali inaruhusu mtu atembee na silaha kama kisu vijana wengi siku hizi utawakuta wamebeba visu wanaweka kiunoni wanafunika na nguo zao za juu kama shati au fulana'kuna siku asubuhi mapema nilikutana name jamaa kalewa...
Hili suala la wanajeshi linakera mno wananchi inapaswa tulipinge vikali jambo hili ikiwezekana liwekwe kwenye katiba ya nchi yetu, sababu leo kapigwa uyo jamaa kesho uwenda ikawa wewe au mimi unyanyasaji wao umetuchosha, wamepewa mafunzo ili walinde nchi na sio kupiga raia masikini uyo jamaa...
Pole sana mi nafikiri watu hawajamuelewa mtoa mada nilivyo muelewa Mimi halili urithi Wa Mama aliyoondoka nao kaka yake anacholilia ni mapenzi toka kwa kaka yake hata kama hana kitu kabisa ilimradi asikie tu sauti au amuone kaka yake kumbukeni wamezaliwa 2 tu so alipofariki mama yao akategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.