Recent content by shangwe1

  1. shangwe1

    Mambo gani huwa unafanya ukiwa na msongo wa mawazo ama mtu akikukera?

    Nalala sana au kufanya mazoezi naweza kaa hata siku mbili bila kula
  2. shangwe1

    Mnaofanya mazoezi ya kukimbia kuna mambo mnadanganya

    Kukimbia ni noma sana kama hauna mazoezi ukikimbia km3 unahisi unataka kufa aisee
  3. shangwe1

    Poleni watumishi wa umma uyo ndio mama anaupiga mwingi hakuna ongezeko la mshahara

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwanza nicheke
  4. shangwe1

    Comment ziwe fupi fupi

    Wanaume tunazidi kutoweka kila kukicha yaani
  5. shangwe1

    TANGA: Gari la Magazeti lapata ajali

    Kuna siku nilipanda hizo gari aisee niliapa sipandi tena
  6. shangwe1

    Mapenzi kwangu yamenikataa

    Huu ni upuuzi kwahiyo ukisafiri mke wako awe anapigwa tu??
  7. shangwe1

    Mapenzi kwangu yamenikataa

    Tafuta pesa Kuwa busy na maisha yako Tafuta mwanamke oa
  8. shangwe1

    Mwanaume usiwajali watoto zaidi ya anavyowajali Mama Yao(mke wako)

    Wife alileta dharau siku moja nikamwambia sipendi dharau na maneno ya kejeli nikamwambia ondoka akawa haamini nikawa gari langu nikaanza kumkusanyia nguo zake yeye mwenyewe alipiga magoti na kuomba msamaha...
  9. shangwe1

    Takwimu: Zaidi ya robo ya idadi ya watu wazima duniani hawafanyi mazoezi ya kutosha

    Simu unaitumiaje au ni app gani ukiwa unakimbia itasoma km?
  10. shangwe1

    Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

    Wadau wa huu mchezo tupo wengi kuna kiingilio hapo au
  11. shangwe1

    Viongozi wa G7 washerekea miaka 50 ya USHOGA

    Ningekua na uwezo ningeenda kuwalipua na bomu la nyuklia
Back
Top Bottom