Huyu Modline Castico siyo raia wa Tanzania namjua vizuri, alikuwa ni Mke wa Mzee Joel Castico ambaye alikuwa mkurugenzi wa kituo cha mikutano zanzibar ale EKOTANALI, huyu mama ni raia wa Zambia
Richard Steven namfahamu vizuri Maana nilisoma naye Makongo High school na kumpita madarasa mawili, mimi nikimaliza nikamuacha form 2 na akikuja kumaliza form 4 mwaka 2013,ndipo akajiunga na chuo cha uandishi wa habari, Kiumri Ana miaka 20 na kitu japo hajafika miaka 25. Lakini kikazi Ana uzoefu...
Hii habari ni ya kweli kabisa, mpaka sasa Ccm wameshinda uenyekit wa halimashauri Kwa tofauti ya kura moja, Ukawa wameambulia unaibu mwenyekit wa halimashauri tuu
Mbunge wa jimbo la Kilombero Mh Peter Lijulikali na mbunge wa Viti maalumu Chadema mkoa Morogoro Mh Devota Minja na dereva wa mbunge wa kilombero wamekamatwa wakati wakiwa kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya kilombero, na baada ya kukamatwa CCM imeshinda uenyekiti wa...
Mkurugenzi alihairisha kikao sasa Ukawa walisema hatuondoki mpaka ccm waondoke ndipo Mkurugenzi kasema ataendelea na kikao saa 10 wakati alishahairisha
Ni kweli kabisa mbunge amekatazwa kupiga kura na mbaya zaidi ccm wameleta madiwani toka Singida waje kupiga kura kilombero na Chadema wamekataa vurugu zimetokea na uchaguzi umehairishwa Kwa Muda usiofahamika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.