Kwan ndoa lazima? Huko kwenye ndoa wanagawa mishahara au... Uolewe ukapike, ufue ,Bado uwe na akili za kushauri Ili mfike mbali, uvumilie manyanyaso ,usaliti ,uzae, ulee.. kwa mahari ya milioni mbili na nusu..... Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu SIO LAZIMA KUOLEWA
N kweli maana katuzidi urembo.. nipo hapa na type huku tumbo langu la uzazi linavibrate halaf namuona kakadada anakiuno nyigu nitakosa makasiriko kwel?
Ni wapi wanapata silaha nani anawa- organiz Nan anawa-finance Nan anafaidika na hayo machafuko... Kwny history ya advance Kuna topic ya threat of the word peace inaelzea n Hawa mabepari ndio wanafinance na kuwa benefited na hizi vita Africa ss y wajioneshe kama wanahuruma yaan wanauma na kupuliza
Ss kama n mvurigaj y asitolewe kbsa... Yaan they want to eat bread wenyewe tu na sio kuweka wengne wapya waone mabadiliko.. naamin Kuna members wengine ambao hawajapata nafas ya kutumikia nchi lkn wakipewa chance watafanya mabadiliko bt hawataki... Au they think kuleta member mpya ita-release...
This government n Kam inamfumo wa kinship watu wanazungula humo miaka nenda rud mpaka wafe then relatives zao ndio waje washke usukan Tena so nimulemule until death do them apart
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.