Hebu acheni watu waishi maisha yao.....kuolewa kuolewa, kuolewa kwenyewe nini sasa??? Kuosha vyombo, kupikia watu, kufua na kugombana na ndugu??? Hebu huko....[emoji57][emoji57]
Ni maneno tu hayo
Actually hakuna Mwanamke asiyependa KUOLEWA
Ishu ni kuwa nitaolewa na nani
mana mana 90% wote ambao napata bahati kuwa nao katika uhusiano doest meat minimum requirements nazotoka
This inincompatibility issues inawatesa sana nyinyi mnaokimbilia 30s
Kwa sasa market value ni vitoto vya 2003 2004
Hata vitoto vya 2000 now vishakuwa used
Sembuse nyie wa ealy 90s na mid 80s
Mtasugua GAGA sana tu si mlikuwa mnalinga wakati wenu
Umri sahihi wa kuolewa mwanamke na kuazisha FAMILIA ni kati ya miaka 18 mpk 22 umechelewa sana kwa 7bu za kimasomo basi 25 na hapo tayari ukiwa umeshamtengeneza mume wako tangu ukiwa Age 20 hii ni kwa sababu MUME sahihi kwako lazima awe amekupita kati ya miaka 5 mpk 10(best zaidi 10 kuendela)
Hii itawasaidia wote kudance Tune aina moja so misukosuko mingi ya NDOA mtapambana nayo
Kutokana na ukomavu wa AKILI ya mwanaume
Na mabadiliko ya kimwili kifikra ya mwanamke
7bu 90% wanawake wakishazaa akili HUPEVUKA zaidi sasa ukiwa umezaa katika NDOA na mume akawa anakurutubisha na MANII zake lazima uwe MKE BORA na MAMA BORA kwa watoto wako
What You put inside is what you going to see outside later that damage you do in 20 you are going to see after 35
What goes in your brains in 20 also what you put on your mind and what you think it's is what your determine out come that you're going to have in your life
Because what You read or you fall in love is what your brain going to be focused
So if You focused of something bad like violence
KATAA NDOA or bad friendship or unsuccessful love or whatever it's going to bring you down that's is going to make your age very fast