Recent content by shambani

  1. S

    Tumelelewa na 'mama'! Je baba na nduguze wanastahili kuitwa kwenye mahari?

    Uko sahihi,ya kuwa sio vizuri kuishi na vinyongo! Hilo nakubali! Nakubaliana na wewe pia kuhusu kusamehe. Nachosisitiza mimi ni kuwa baba kama huyo kumsamehe na kumfuta kabisa kwenye akili yako na mambo yako! Futa kabisa!! Hakuna tena kinyongo hapo kwa sababu hayuko kwenye fahamu/hisia zako...
  2. S

    Tumelelewa na 'mama'! Je baba na nduguze wanastahili kuitwa kwenye mahari?

    Tuache unafiki jamani! Huyo baba hafai hata kuambiwa chochote! Achilia mbali kualikwa! Hana mapenzi na hiyo familia! Kafuata maslahi tu!
  3. S

    Tumelelewa na 'mama'! Je baba na nduguze wanastahili kuitwa kwenye mahari?

    Maneno kuntu kabisa!! Yamenigusa ku-moyo! Tuache unafiki, mababa wa aina hiyo ni kuwapotezea kabisa! Na yeye(baba asiyejitambua) aelewe hivyo kwa kauli na matendo yenu! Hakuna kumuonyesha jino!
  4. S

    Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

    Dah! Huwa nakukubali sana Mwalimu!
  5. S

    Giza tu haijawahi kutokea!

    Sijui nini kifanyike watu waelewe! Itachukua miaka mingi sana kufanya maamuzi kwa kujitambua,na si kwa ushabiki! Labda siku korodani zao zikiwa!
  6. S

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Ulikuwepo kwenye mazishi mkuu! Ni hisia gani zilikuwepo? Za kisiasa au kiimani?
  7. S

    Umakini: CHADEMA Urais mawakala watanunuliwa?

    Umeona mbali mkuu. Kulinda kwa uaminifu na majumuisho ya kura kutoka vituo zaidi ya 4000 ni changamoto ya kufanyia kazi kuanzia dakika hii!
  8. S

    Bush back safari anatuma watu kuchana mabango ya CHADEMA

    Maamuzi ya Idd Amini kuhusu hawa k.u.p.e yalikuwa sahihi kabisa! Hata mwalimu alivyoamua kutaifisha nyumba zao alijua walifanya nini hawa k.u.p.e
  9. S

    Bush back safari anatuma watu kuchana mabango ya CHADEMA

    W.A.H.IN.D.I wa nchi hii ni wa kutilia shaka katika harakati za mtanganyika kujiondoa katika mfumo wa kinyonyaji. Kwa ufupi ni k.u.p.e wa rasilimali zetu. Ni wakati wa kuanza kupambana nao!
  10. S

    Mazishi ya Mohamedi Mtoi: Kesho tutaelekea Lushoto, karibuni

    Pole sana mkuu, Mungu awatangulie katika safari ya kumsindikiza kamanda shupavu Mtoi. Sorry mkuu Elli,shambalai ulikuwepo mwaka gani?
  11. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Ahsante sana mkuu! Na je fuel consumption(avarage) kwa terios ikoje?
  12. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    sorry mkuu mshana jr, naomba msaada wa kujua hizi terois tofauti zake,naona kuna hii imesema inaitwa terois kid. Na vipi uimara wake(durability) kama alivyouliza mdau mmoja hapo juu. Kwa sisi wa mikoani/mashambani ambako barabara sio rafiki kabisa! Je inaweza kudunda kama escudo?
  13. S

    Ni mambo mawili, aidha BAVICHA wamekata tamaa ama wamesusa

    Juliana una hoja ambayo ni ya msingi kwa wanamabadiliko. Kama kweli kuna udhaifu basi BAVICHA/UKAWA waufanyie kazi kwa matokeo chanya, na sio kumbeza mwana Juliana Ambaye bado anaonekana ana mahaba ya dhati na chadema.
  14. S

    CCM wametushika pabaya

    Mkuu The Tomorrow People" labda kama umetumwa, lakini kama ni akili yako,basi jifikirishe kidogo then utajitambua tu.
Back
Top Bottom