CCM wametushika pabaya

CCM wametushika pabaya

Mkuu The Tomorrow People" labda kama umetumwa, lakini kama ni akili yako,basi jifikirishe kidogo then utajitambua tu.
 
POROJO NA UMBEA peleka huko ccm
KURA LETA KWA LOWASA .
 
Jamani sasa si mfunguke tuu kuwa October 25 kura kwa Nani Kati ya hayo majembe mawili?
 
Hapo jembe ni Magufuli tu
 
El ataishia kualikwa ikulu kwenda kula tende na pilau kipindi cha Iddi na Xmas
 
Ata angejilikisha tan mzania yote ukwa daima lowasa hadi ikulu
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Rais anapigiwa saluti na mwanajeshi!! Unachakusema???
 
Akikujibu unisaidie kumuuliza, aliposhindwa mara ya kwanza hayo makabila yalikuwa likizo au yalikuwa hayajazaliwa??

Babu unaniangusha!kwani mara ya kwanza aliunganisha nguvu za KKK?
HA HA HA Nashangaa kuona wakongwe kama wewe mmepoteza focus lakini sishangai sana kwani Asprin ni dawa ya kizamani mno!

Kwa heshima uliyonayo kwa mabinti wa JF sintokuita lofa nitakuita lordlofa!
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Kanawe miguu ulale
 
Ukawa nao wakianza kuweka mambo ya watu wazi watakimbia nchi.
 
kumbe yussufu rajabu makamba anayajua mashamba hayo halafu hasemi yako wapi na hakusema siku zote..kumbeyussufu rajabu makamba amegeuka mke wa lowassa kujua kuwa hakerwi na msikini bali anakerwa na umasikini wake.....kumbe yussufu rajabu makamba anajua mashamba ya sumaye siku zote na asiseme mpaka leo...kumbe yussufu rajabu makamba luteni mstaafu alikuwa kotamasta wa kujua wapiganaji wa vita ya kagera....alete mengine nasi tufungue yetu yale ya kumfanyia mipango mtoto wake afanye kazi ikulu
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
 
Ukawa nao wakianza kuweka mambo ya watu wazi watakimbia nchi.

Ukawa walianza zamani na hoja hii ya ufisadi kwa data za kuokoteza sasa ccm wameishika mnakomaje!
 
Babu unaniangusha!kwani mara ya kwanza aliunganisha nguvu za KKK?
HA HA HA Nashangaa kuona wakongwe kama wewe mmepoteza focus lakini sishangai sana kwani Asprin ni dawa ya kizamani mno!

Kwa heshima uliyonayo kwa mabinti wa JF sintokuita lofa nitakuita lordlofa!

Umekosea kidogo, Asprin haijawahi kuwa dawa. Dawa ni Aspirin.

Usijali, baada ya oktoba ubishi utaisha tutaurudisha undugu wetu. Badala ya kuniita Lofa utaniita kaka.

Pamoja sana.
 
kumbe yussufu rajabu makamba anayajua mashamba hayo halafu hasemi yako wapi na hakusema siku zote..kumbeyussufu rajabu makamba amegeuka mke wa lowassa kujua kuwa hakerwi na msikini bali anakerwa na umasikini wake.....kumbe yussufu rajabu makamba anajua mashamba ya sumaye siku zote na asiseme mpaka leo...kumbe yussufu rajabu makamba luteni mstaafu alikuwa kotamasta wa kujua wapiganaji wa vita ya kagera....alete mengine nasi tufungue yetu yale ya kumfanyia mipango mtoto wake afanye kazi ikulu

Vilevile atwambie jinsi alivyomsaidia februali kurudia shule pale garanosi
 
Back
Top Bottom