Themi1
Senior Member
- Jul 23, 2015
- 171
- 70
Tarehe 24 usiku saa 3 tuliwakamata vijana 2 maeneo ya Impala hotel walikuwa wametokea ofisini kwa bush back wakiwa na bendera za ccm,wakizibandika na kubandua za za chadema.Tuliwafutilia na nyuma wakiendelea kubandua picha za lowassa na lema ndipo tulipo mkamata mmoja mwingine akakimbia.Tulipo muhoji alikiri kutumwa na huyo muhindi,tukampeleka polisi.Baadae polisi wakamuachia wakaja mkamata kijana wa toyo kuwa eti aliusika kumpiga huyu kinara wakuchana bendera.vijana wa chadema tupo tayari kulinda mabango na kupambana na huyo muhindi.