mdau tatizo ni elimu ya kisiasa bado Tz yetu... mimi nilikua msimamizi wa uchaguzi maeneo ya igunga Tabora(vijijini) kati ya watu 10 waliokuja kupiga kura wanne takribani walikuwa hawajui kusoma wala kuandika na ni vijana siyo wazee... ktk siasa walioamka ni maeneo ya mijini tu, siyo vijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.