Recent content by shamamona

  1. S

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Usitumie M-Pesa kutuma fedha Tanzania

    siku utakayolizwa ndo utatambua vodacom n nan baada ya kufunguka akili
  2. S

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Usitumie M-Pesa kutuma fedha Tanzania

    Hakuna mtandao wa kijambazi bongo km hao vodacom,,
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mpesa wanaelekea kumlalia 406590.84-tzs kutoka usa-western union(imt)

    polisi wa TZ ni wale wale tu.. Apo ni sawa na kumrushia mnofu mbwa anaekimbiza mwizi.. wakitupiwa ki elfu 50 tu wanafyata vikia..
  4. S

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

    how much are yu paid in supporting ccm??? mdau wa apo juu
  5. S

    JamiiForums Tanzania January Makamba naamini amepata cha kujifunza

    asipewe hata uwaziri.. JPM aendeleze kuwakata hivyo hivyo
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    kwa swala la usiri wamefeli wanaCCM Kassim Majaliwa alishaongelewa na magazeti karibu yote ya leo
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Hakuna usiri wowote apo... Magazeti mengi ya leo yamemzungumzia
  8. S

    JamiiForums Tanzania Wapi mmeanza kuisoma namba? Toa ushuhuda hapa

    mdau tatizo ni elimu ya kisiasa bado Tz yetu... mimi nilikua msimamizi wa uchaguzi maeneo ya igunga Tabora(vijijini) kati ya watu 10 waliokuja kupiga kura wanne takribani walikuwa hawajui kusoma wala kuandika na ni vijana siyo wazee... ktk siasa walioamka ni maeneo ya mijini tu, siyo vijijini...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Mbunge wa Tanzania ni shilingi ngapi?

    hahaha!!! mkuu unafaa sana ukijiunga original comedy
  10. S

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Spika wa Bunge CCM

    huyo huyo alieamsha vurumai jimboni kwake kwa kupiga watu.... haya ss wabunge kazi kwenu mkawe mkawaone akina CHEKA wawafue
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hatari: Nyangumi akutwa amekufa ufukwe wa Coco, wananchi wachangamkia kitoweo na mafuta

    Mtakula popo bawa na kusema Nyangumi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nauza asali

    Nenda (YAWIRI) kuna wakala wa mzungu ajulikanae kama mgosi,ananunua kwa ajili ya kutengeneza pombe ya asali
  13. S

    JamiiForums Tanzania Najuta kupiga kura 2015, sitokaa nipige kura tena

    hahaha!!!! teh teh umetisha
  14. S

    JamiiForums Tanzania Magufuli asifiwa na umoja wa ulaya(EU)

    sure nakuunga mkono mr. hakuna mzungu anaemtakia mema mweusi in fact.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha uangalizi wa mbali

    hapo sasa ashindwe mwenyewe
Back
Top Bottom