Mm nadhani tusiwalaumu sana wananchi maamuzi waliyafanya yakapokwa,hapa cha kulaumu ni ukimya wetu watanzania tunawekewa watu tusiowataka hata tukitumia democrasia.
Mhaini babaako mzazi kijijini
Kuna Wale Zomeazomea Wa Kule Musoma, Mbeya Na Hawa Waliokuwa Wanamzomea Mnyama Mkali JPM Pale Shekilango, Maisha Yao Vipi ?Wale. Wa kile chama cha wavunja lain za voda
Wa Kule Musoma, Mbeya Na Wale Waliomzomea Mnyama Mkali JPM Pale Shekilango DSMAkina nani sasa?
Pesa Zimeisha Mkuu. Mbowe Juzi Akiwa Bunda Akawa Anasema Magufuli Alegeze Kidogo, Jamaa Anaumia Balaa Lakini Anaogopa KusemaHata wale Wachamungu wa Harambee Misikitini na Makanisani wameyeyuka