Magufuli asifiwa na umoja wa ulaya(EU)

Magufuli asifiwa na umoja wa ulaya(EU)

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,079
Reaction score
12,308
Leo mabalozi wa umoja wa ulaya wamemsifu bwana Magufuli kwa kazi yake nzuri kuzuia wazururaji wa ulaya na kuwawajibisha watumishi wazembe nadhani ni pamoja na kumtimua mkurugenzi MOI. Waahidi kumwaga mamilioni katika budget yake.
 
Leo mabalozi wa umoja wa ulaya wamemsifu bwana magufuli kwa kazi yake nzuri kuzuia wazururaji wa ulaya na kuwawajibisha watumishi wazembe nadhani ni pamoja na kumtimua mkurugenzi MOI. Waahidi kumwaga mamilioni katika budget yake.

Yule mzee wa anga kwa anga si mlikuwa mnamsifu alipokuwa anataka kuvunja rekodi ya marubani ya kutumia masaa mengi angani?
 
Eddy wa buswelu tofautisha kati ya kuamisha na kutimua ni vi2 viwili tofauti hv habari huwa mnasikilizaga nyie peke yenu. kweli buswelu mbali na dunia
 
Mkuu chakaza hawa watu huwa hawajui ni nini jema au baya.Mzee wa msoga wakati tunasema kasafiri kuliko jua walisema cc waongo!Leo pombe kuzuia wazururaji ana wana msifu nashindwa kuwaelewa
 
Mkuu chakaza hawa watu huwa hawajui ni nini jema au baya.Mzee wa msoga wakati tunasema kasafiri kuliko jua walisema cc waongo!Leo pombe kuzuia wazururaji wana msifu nashindwa kuwaelewa
 
Eddy wa buswelu tofautisha kati ya kuamisha na kutimua ni vi2 viwili tofauti hv habari huwa mnasikilizaga nyie peke yenu. kweli buswelu mbali na dunia

katimuliwa moi kapelekwa wizarani sasa nimekosea wapi? Ukweli muhimbili katoka basi hatakama kahamishiwa ikulu.
 
Leo mabalozi wa umoja wa ulaya wamemsifu bwana magufuli kwa kazi yake nzuri kuzuia wazururaji wa ulaya na kuwawajibisha watumishi wazembe nadhani ni pamoja na kumtimua mkurugenzi MOI. Waahidi kumwaga mamilioni katika budget yake.

Yawezekana wamefurahi kwani sasa waajiri wao wataona wanafanya kazi kwani kabla masuala ya kufanywa hapa bongo na mabalozi hawa yalikuwa yanapelekwa nchini kwao.

 
Last edited by a moderator:
Nyerere alitufanyia mengi yenye manufaa watanzania lakini wazungu hawakumsifu wala kumpa udoctor jiulize kwa nini?
Kasome vizuri historia yake kabla huja comment. Kwa kukusaidia mwl honorary degree ya kwanza aliipata chuo kikuu alichosoma cha Scotland Edinburgh, pia usa vyuo vitatu canada kimoja hata cuba india na sehemu nyingi Africa kuna watu wanamwita Dr Nyerere kama ulikua hujui
 
Leo mabalozi wa umoja wa ulaya wamemsifu bwana magufuli kwa kazi yake nzuri kuzuia wazururaji wa ulaya na kuwawajibisha watumishi wazembe nadhani ni pamoja na kumtimua mkurugenzi MOI. Waahidi kumwaga mamilioni katika budget yake.

Aliyerudishwa MOHSW ni wa MNH na sio MOI....
 
Ukiona MTU anasifia mwanzo wa kazi jua anataka kitu ata mwezi bado kama si unafiki ni nini sifieni
 
Yule mzee wa anga kwa anga si mlikuwa mnamsifu alipokuwa anataka kuvunja rekodi ya marubani ya kutumia masaa mengi angani?
Vipi kuhusu yule rubani mwingine (kamanda wa anga) aliyegeuza gia angani. Ndege ilifika salama kweli?
 
hilo ni shirika la afya muhimbili amepelekwa wizara ya afya naomba hapo tutofautishe
 
Back
Top Bottom