Recent content by Shabobabo

  1. Shabobabo

    Joshua Nassari awadanganya wanameru kwa ambulance mbovu

    Bora Kuchelewa kuliko kutokufika kabisa. Kijana kaingia bungeni juzi tu kanunua ambulance. A very big step.
  2. Shabobabo

    Nitaficha wapi uso wangu? Rais Kikwete ameniumbua

    Pole sana, Kuna watu humu wanasema wakoloni walitujengea Ikulu, miundombinu. Je? Vitu hivi walijenga na rasilimami kutoka wapi? Sio mali zetu humuhumu.
  3. Shabobabo

    Miti ya ajabu

    Inatia hamu kweli
  4. Shabobabo

    Miti ya ajabu

    Tia neno
  5. Shabobabo

    Prof. Kitila Mkumbo aisaliti ACT na kujiunga na Team Lowassa, akabidhiwa jukumu la kumshawishi Membe

    Hiki Ni kipindi cha mavuno. Waache wavune. We mtu anajua kabisa chama hakiwezi kumpa nchi yy ananganga kutumia mihela wache watu wale.
  6. Shabobabo

    Mbowe kulipua ufisadi wa Bomba la Gesi

    Yani nchi hii kila penye project pana scandal. Hiki lizazi kikoje jamani. Siku moja ikulu itauzwa.:A S-rap:
  7. Shabobabo

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Hao mashehe wao wanajuwa ukweli ila wanawadanganya vihiyo wa kuitikia hadithi tu.
  8. Shabobabo

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Hao wanaotoka huko msikitini ndio wanaoleta ujinga humu wa kusema watu hawajafika mwezini.
  9. Shabobabo

    Apewe hongera mgunduzi wa PM

    Mimi nataka wa kuchati nae tu awe ke sijari shepu wala sura. Mradi awe ke
  10. Shabobabo

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Nimegundua humu jf kuna vihiyo wengi arafu wanaleta uzi wa kijingajinga na dini zao
  11. Shabobabo

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Hivi ww ni darsa la ngapi? Kwenye mwezi hakuna oxygen na gravitation force ni 1 ya 8 ya hapa duniani ila upepo upo kama kawaida. Humu jf kuna vihiyo wengi.
  12. Shabobabo

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Wanaopinga na wanaotengeneza hizo documentery za uongo ni waumini wa dini fulani wanaueshimu mwezi. Mwezi hauko mbali kiivyo washindwe kufika. Ndiomaana mko nyuma kwa mambo mengi think think. Unashindwa kuami kile ambacho unaweza kukihoji ukapewa majibu lakini unaamini ambacho ni hadithi zisizo...
  13. Shabobabo

    "Bebi mi leo sivai helmet bana..."

    Wanaume wengi walio above 40 hatumii helemeti. Sababu kubwa ni kwamba akivaa helemeti haendi mwendo mrefu.
  14. Shabobabo

    Wafumaniana na kubadilishana wake zao

    Inakuwaje wote wawili waende gesti moja wakati mmoja. ??????
Back
Top Bottom