Habari wana jf
Leo nimepokea tathmini ya kile kilichofanyika jana 29/01/2022 Mlimani City kutoka huko zanzibar.
Wanachama wa ACT wazalendo hadi sasa wamegawanyika, wapo ambao hawakubaliani na mh Juma Duni na wengine hawakubaliani na hamad massoud.
Wapo wanaohoji juu ya demorasia ya ndani ya...
Habari wadau.
Twende kwenye mada.
Nataka kuanza kufatilia visa ya kuingi U.S.A, je gharama yake ni bei gani. Na gkama kuna anaejua gharama inatokana na nini na nini. Ili nipate total cost hadi nakamilisha kila kitu kihusucho viza. .
Pia ningependa kujua vitu gani visikosekane kwenye kuomba...
Habari zenu wakubwa na wadogo zangu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali..
Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya msingi/inayokubalika kisheria?
Na
Kama ni kosa je adhabu yake ni nini?
Kwa wanaojua wanifafanulie.
Utapeli ulikua hivi.[emoji116][emoji116]
Nilianzisha mahusiano nae nikiwa kwenye plan ya kuanzisha office ya kazi na nilijichanga sana kutafuta hela kwa ajili ya lan hio.
Mimi nilikua muwazi kuhusu plan yangu hio na niliamini kua ni mwenza wangu wa maisha.
Mimi nilimuamini kwasababu ya upendo...
Habari zenu wanajukwaa.
Naomba kuuliza swali kwenu.
Je, naweza kumshitaki aliekua mpenzi wangu kwa kosa la kunitapeli kipindi cha mahusiano yetu kwa kitumia uongo kwa lengo la kufanya utapeli huo?
Kwa ambao wanaweza kuchangia naomba ufafanuzi?
Habari kaka na ndugu zangu,
Nimekuja na swali kwenu wanajukwaa nataka kujua kuhusu pete ya uchumba. Sasa nimeingia kwenye penzi la kweli na tunahitaji kuvishana pete ya uchumba. Binafsi mimi ni mgeni sana kwenye suala la pete, sijui hata naanzia wapi, mpaka najiuliza, kwani pete yenyewe...
Kishki alimuomba radhi mungu wake kwa alilolifanya kama amekosea kumuombea dua hiyo selemani na kumuombea balaa.
Lakini yeye amemuomba msamaha mungu wake na sio watz
Maneno hayo utayasikia ukiisikiliza clip ya sheikh hadi mwisho
Habari zenu wana jamii forum.
Pili poleni kwa msiba wa kitaifa.
Nimekuja kwenu kuiongelea ishu ilotokea juzikati kama kichwa cha habari kinavosomeka. Bila ya shaka ishu hii inamuhusu afande sele na mungu na sheikh nurdeen kishki na mungu wake (allah)
Nimefanikiwa kuzisikiliza pande zote mbili...
Habari wana JF,
Nimekua nikishangazwa kwa nchi yetu ya Tanzania kuangalia maudhui ya saana ya Kitanzania kwa lengo la kulinda maadili ya taifa hata heshima ya ndani na nje ya Tanzania.
Lakini kinachoshangaza tamthilia kama ya Money Heist inauzwa Tanzania na ni halali kuangalia. Huo ni mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.