edison halaf elewa nilichoandika .nimesema mimi ninaemuamini ni babaangu..sijazungumzia na maono ya wengine..na busara sina kweli maana nimelelewa na babaangu kuanzia nikiwa na mwaka 1.kwahyo kila tabia niliyonayo na matendo ni kutoka kwa baba.labda ningelelewa na mama ningekua na busara.
Hahahahahah si mchezo..mi najiuliza kwan busha si wanapata wanaume tu au na wanawake ..na ugonjwa wa busha unajulikana uko vipi sasa huyo mbu nae anaeleta mabusha atakua basha maana anafata nini huko asing'ate sehem zote mpaka aje huyo sirini ...
Mi ninamfano wa ndugu yangu alikua na boyfriend .yule mwanaume alikuja na mbwembwe na kujitambulisha kwetu tukamfaham ..mwisho wa siku tukaja kugundua kumbe ana mke na wakat huo tayar ndugu yangu ni mjamzito..ndugu yangu alikua na biashara zake kumbe yeye na mkewe lao moja nia na madhumuni...
Hizo ni propaganda zao tu.unaweza ukaambiwa mtu alikua anajaribu kutoroka na anapingu za miguu na mikono anatoroka vp?? Mi naona wangewatafutia sehem ya kufanyia mazoez na kufyatulia risasi zao sio katika miili ya watu
Hata d banj alipiga show kwao akazomewa kisa p squire. .kwahyo si lakushangaza kuzomewa ni moja ya changamoto katika mziki..hata kina chege na temba walivyotengana na juma nature ..walikua wakipanda jukwaani wanazomewa juma nature anashangiliwa..haya sasa hivi yuko wapi
Hata juma nature akipanda jukwaani bado atashangiliwa mpaka leo japokua kaishiwa nyimbo..ila tatizo wabongo maendeleo hatupendi..mtoto wawatu anajitahidi sana..na ukiangalia asilimia kubwa ya walioenda fiesta wauswazi wamezichanga weee mwezi mzima..waelewa waliishia kuangalia kwenye tv..watu...
Dah watu wanaongea tu ila hawajui ni namna gani mtu anaumia anapojua alikataliwa na mzazi wake..mimi mwenyew nimepata tatizo kama hilo nimelelewa na babaangu mpaka nimekua na akili zangu timamu mpaka leo hii .na wala hakuoa wala kutafuta mwanamke kuhofia mwanae nisije pata mateso..wakati huo bi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.